Kwanini graphic card zina bei sana kuliko kompyuta?

Kwanini graphic card zina bei sana kuliko kompyuta?

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Leo nilikuwa nataka kuagiza kompyuta ni kaona kwanza niingie Kwenye mitandao kuuliza na kupata maoni kabla ya kununua.

Kompyuta asilimia kubwa uwezo wake unategemea graphic card kwa maelezo niliyopata kwa sababu ndio kuitwa (GPU) graphics processing unit.

Uwezo GPU ukiwa mkubwa na ndiyo urahisi wa kompyuta yako kufanya kazi vizuri kwa sababu mifumo mingi inategemea hiyo kama app, video, 3d, animation na alogarithm za kompyuta.

Kama graphic card itakuwa ya kawaida basi vitu vingi vitashindwa kufanya kazi.

Swala la graphic card kuuzwa bei ni siri hiyo ndio maana hata vifaa vya michezo kuwa bei sana kama playstation kwa sababu ya graphic card yake inavyoweza kufanya kazi haraka.

Graphic card ina uwezo kufanya blute force ya kuchambua au kuchakata utendaji wa program nyingi.

Unaweza kununua kompyuta ya kawaida na ukafunga graphic card kubwa.

Graphic card ambazo kwa sasa kampuni kubwa ni Nvidia.

Nimeamua kununua graphic card external.

IMG_4547.jpg

IMG_4548.jpg
 
Leo nilikuwa nataka kuagiza kompyuta ni kaona kwanza niingie Kwenye mitandao kuuliza na kupata maoni kabla ya kununua.

Kompyuta asilimia kubwa uwezo wake unategemea graphic card kwa maelezo niliyopata kwa sababu ndio kuitwa (GPU) graphics processing unit.

Uwezo GPU ukiwa mkubwa na ndiyo urahisi wa kompyuta yako kufanya kazi vizuri kwa sababu mifumo mingi inategemea hiyo kama app, video, 3d, animation na alogarithm za kompyuta.

Kama graphic card itakuwa ya kawaida basi vitu vingi vitashindwa kufanya kazi.

Swala la graphic card kuuzwa bei ni siri hiyo ndio maana hata vifaa vya michezo kuwa bei sana kama playstation kwa sababu ya graphic card yake inavoweza kufanya kazi haraka.

Graphic card ina uwezo kufanya blute force ya kuchambua au kuchakata utendaji wa program nyingi.

Unaweza kununua kompyuta ya kawaida na ukafunga graphic card kubwa.

Graphic card ambazo kwa sasa kampuni kubwa ni Nvidia.

Nimeamua kununua graphic card external.

View attachment 2111167
View attachment 2111168
Tusiojua graphic card tunaomba kujua ipoje na ina kazi gani?
 
Kikawaida graphics card hazina bei, sasa hivi bei ni kubwa sababu ya uhaba unaotokana na Crypto mining, hawa jamaa wananunua gou zote.

Ila baadae mwaka Huu gpu za intel zikitoka uhaba utaisha, By mwisho wa mwaka inategemewa bei kurudi kawaida.

Na pia huwezi nunua laptop ya kawaida ukaweka external gpu unahutaji angalau Thunderbolt 3 kufanikisha.
 
Overall gpu zilipanda sababu ya uchimbaji wa crypto currency.
Kwa sasa zimepanda zaidi tofauti na uhalisia sababu ya uhaba wa semiconductor uzalishaji umekuwa mdogo na wa taratibu mzigo ukitoka unabebwa wote demand kubwa.

Mashine ya kazi heavy za graphics Kama rendering na gaming chukua desktop ya kuanzia 8th generation support ya latest upgrades ni kubwa na weka gpu ya maana utapata performance ya uhakika si ya kubahatisha then upgrade Taratibu kama mbadala wa kuweka external parts Kwenye laptop kitu ambacho kipo limited sana na hupati maximum performance ukilinganisha na gharama.
 
😂😂 Mimi hata sielewi wanaongelea nini, na pc ninayo
Kama GPU huijui rudi shule 😂!!!

Graphics Processing Unit inafanya kazi ya kukupa clarity ya kila unachokiona kwenye screen. Iwe picha iwe, iwe movie na programs zote ambazo zinatumia mchanganyiko wa rangi ku display kwenye P.C yako kama Games n.k.

GPU ikiwa hafifu means kuna game za kisasa hutaweza cheza, kama kuna program za ku editia movie kama adobe after effects hazitafanya kazi kwa wepesi.
 
Kikawaida graphics card hazina bei, sasa hivi bei ni kubwa sababu ya uhaba unaotokana na Crypto mining, hawa jamaa wananunua gou zote.

Ila baadae mwaka Huu gpu za intel zikitoka uhaba utaisha, By mwisho wa mwaka inategemewa bei kurudi kawaida.

Na pia huwezi nunua laptop ya kawaida ukaweka external gpu unahutaji angalau Thunderbolt 3 kufanikisha.
Chief, mbona nimesoma mahaki tofauti kwamba kwasasa kutegemea GPU katika minning ni hasara maana umeme utakaotumika utakuwa na cost kubwa kuliko utakachomine.
 
GPU inatumia umeme mwingi sana kwa sababu uchakataji wa alogarithm ni mkubwa kuliko cpu
 
[emoji23][emoji23] Mimi hata sielewi wanaongelea nini, na pc ninayo

Pole sana mkuu
Nkuelezee kwa navyofahanu
Graphics inahusianisha zaidi picha
Ntolee mfano kwenye games
Game zinapotengenezwa hua zinatengenezwa kwa ung’avu mkubwa sana
I mean picha za action zake hua zinakua high quality zenye kuonekana vizuri sana
Ila ukiliweka hilo game kwenye pc yako na pc yako haina good graphics....ni kua game litacheza ila litakua halioneshi vizuri mandhali yake tofauti na yule mwenye graphic nzuri
Mwenye graphics nzuri ataona magari,miti,nyasi na kila kitu vizuri zaidi ya yule mwenye graphics ndogo

Nmejaribu
 
Chief, mbona nimesoma mahaki tofauti kwamba kwasasa kutegemea GPU katika minning ni hasara maana umeme utakaotumika utakuwa na cost kubwa kuliko utakachomine.
Mkuu hao jamaa wanaoishi kwa kumine wanaweka mashamba yao maeneo ambayo gharama za umeme ni ndogo, pia wana maelfu ya Gpu. Na hawamine kupata Faida sasa hivi wanaangalia baadae.

Mfano anaweza kumine coin xxx akitumia gharama ya $1000 akapata $800, zile coin zipo kwenye Acount yake baada ya mwaka coin zikipanda thamani inamlipa.
 
Kama GPU huijui rudi shule 😂!!!

Graphics Processing Unit inafanya kazi ya kukupa clarity ya kila unachokiona kwenye screen. Iwe picha iwe, iwe movie na programs zote ambazo zinatumia mchanganyiko wa rangi ku display kwenye P.C yako kama Games n.k.

GPU ikiwa hafifu means kuna game za kisasa hutaweza cheza, kama kuna program za ku editia movie kama adobe after effects hazitafanya kazi kwa wepesi.
Thanks...Sasa hiyo GPU unaweza kuifanyia replacement kwenye PC ,kama iliyopo hafifu
 
Pole sana mkuu
Nkuelezee kwa navyofahanu
Graphics inahusianisha zaidi picha
Ntolee mfano kwenye games
Game zinapotengenezwa hua zinatengenezwa kwa ung’avu mkubwa sana
I mean picha za action zake hua zinakua high quality zenye kuonekana vizuri sana
Ila ukiliweka hilo game kwenye pc yako na pc yako haina good graphics....ni kua game litacheza ila litakua halioneshi vizuri mandhali yake tofauti na yule mwenye graphic nzuri
Mwenye graphics nzuri ataona magari,miti,nyasi na kila kitu vizuri zaidi ya yule mwenye graphics ndogo

Nmejaribu
Ok! Nimkuelewa mkuu......Mimi sijui vitu vingi Sana kwenye computer ingawa ipo kwenye matumizi ya kila siku, ngoja nianze kujifunza kidogo kidogo nisiwe nyuma
 
Mkuu hao jamaa wanaoishi kwa kumine wanaweka mashamba yao maeneo ambayo gharama za umeme ni ndogo, pia wana maelfu ya Gpu. Na hawamine kupata Faida sasa hivi wanaangalia baadae.

Mfano anaweza kumine coin xxx akitumia gharama ya $1000 akapata $800, zile coin zipo kwenye Acount yake baada ya mwaka coin zikipanda thamani inamlipa.
Sure niliona jamaa huko marekan wakianzisha startup ya kumine bitcoin wametengeneza minning farm kwenye mto umeme wanazalisha wenyewe kwa kutumia mto na wanachukua maji yanaingia kwenye farm kwa ajili ya upozaji wa machine
 
Back
Top Bottom