Kwanini Guti hakuwa anapewa sifa zake wakati anacheza na hata baada ya kustaafu?

Kwanini Guti hakuwa anapewa sifa zake wakati anacheza na hata baada ya kustaafu?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Pale Real Madrid kulikuwa na mtoto wa nyumbani. Wachezaji walisajiliwa wakamkuta Guti wakamaliza wakaondoka wakamuacha Guti.

Huyu alikuwa zao la academy ya Madrid, aliipenda Madrid kuliko kitu kingine. Katika ubora wake alikuwa ni namba 10 pengine asiyeimbwa na wengi. Guti alikuwa anafunga lakini Guti anatoa assist maridhawa. Alipenda sana kutoa assist kuliko kufunga kwa mujibu wake.
075BB211-C391-438B-B95C-89B5BBF5181F.jpeg


Hata akina Ozil wamechota na kujifunza mengi kwa Guti. Lakini nje ya Madrid hakuwa anapewa maua yake licha ya umahiri wake. Au pengine ni majeraha yaliyokuwa yanamuandama? Au pengine Umadridista ulimzidi? Au alifunikwa na ustar wa wachezaji wengine?

Mnaomkumbuka Guti njooni mtupe mawili matatu
 
Pale Real Madrid kulikuwa na mtoto wa nyumbani. Wachezaji walisajiliwa wakamkuta Guti wakamaliza wakaondoka wakamuacha Guti.


Mnaomkumbuka Guti njooni mtupe mawili matatu
Hatar sana huyo mtu alikuwa anatumia mguu wa kushoto Yuko slow but sure sema kipindi hicho mastaa walikuwa wengi ww fikiria timu ina Ronaldo de Lima, Raul Gonzalez, Figo, Beckam David, Zidane, Roberto Carlos, Fernando Redondo, Kaka nk unategemea utakumbukwa kweli?
 
Hatar sana huyo mtu alikuwa anatumia mguu wa kushoto Yuko slow but sure sema kipindi hicho mastaa walikuwa wengi ww fikiria timu ina Ronaldo de Lima, Raul Gonzalez, Figo, Beckam David, Zidane, Roberto Carlos, Fernando Redondo, Kaka nk unategemea utakumbukwa kweli?
Hapo kuna wachezaji km wa3 walikuwa hawakosi Ballon d'or kila mwaka ... Thierry Henry hakuwa kutoboa sbb hizo hizo
 
Pale Real Madrid kulikuwa na mtoto wa nyumbani. Wachezaji walisajiliwa wakamkuta Guti wakamaliza wakaondoka wakamuacha Guti.

Huyu alikuwa zao la academy ya Madrid, aliipenda Madrid kuliko kitu kingine. Katika ubora wake alikuwa ni namba 10 pengine asiyeimbwa na wengi. Guti alikuwa anafunga lakini Guti anatoa assist maridhawa. Alipenda sana kutoa assist kuliko kufunga kwa mujibu wake. View attachment 2677293

Hata akina Ozil wamechota na kujifunza mengi kwa Guti. Lakini nje ya Madrid hakuwa anapewa maua yake licha ya umahiri wake. Au pengine ni majeraha yaliyokuwa yanamuandama? Au pengine Umadridista ulimzidi? Au alifunikwa na ustar wa wachezaji wengine?

Mnaomkumbuka Guti njooni mtupe mawili matatu
Vipi kuhusu Toni Kroos, na Luca Modric wanapewa hizo heshima kama anazopewa Sergio Ramos ?
 
Hatar sana huyo mtu alikuwa anatumia mguu wa kushoto Yuko slow but sure sema kipindi hicho mastaa walikuwa wengi ww fikiria timu ina Ronaldo de Lima, Raul Gonzalez, Figo, Beckam David, Zidane, Roberto Carlos, Fernando Redondo, Kaka nk unategemea utakumbukwa kweli?
Thread closed
 
Vipi kuhusu Toni Kroos, na Luca Modric wanapewa hizo heshima kama anazopewa Sergio Ramos ?
Ukicheza nje ya England huwezi pata promo sn kwakua tz sizao la mspanish,promo kubwa nivyombo vya England ndio tunakosoma habari zao ilatungekua tunajua Spanish tusingeweza mkosa. ..always cjawahi ona anaetumia kushoto akawa hajui
 
Ukicheza nje ya England huwezi pata promo sn kwakua tz sizao la mspanish,promo kubwa nivyombo vya England ndio tunakosoma habari zao ilatungekua tunajua Spanish tusingeweza mkosa. ..always cjawahi ona anaetumia kushoto akawa hajui
No kuna wachezaji wengine haiba zao haziuzi sana tu.

Xavi pamoja na ubora wake ana individual award moja tu ya Euro 2008.
 
Hatar sana huyo mtu alikuwa anatumia mguu wa kushoto Yuko slow but sure sema kipindi hicho mastaa walikuwa wengi ww fikiria timu ina Ronaldo de Lima, Raul Gonzalez, Figo, Beckam David, Zidane, Roberto Carlos, Fernando Redondo, Kaka nk unategemea utakumbukwa kweli?
Saivi Madrid haina ma star?
 
Back
Top Bottom