Kwanini haiitwi Vatican Country badala yake inaiwa Vatican City?

Kwanini haiitwi Vatican Country badala yake inaiwa Vatican City?

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya Vitican bali mji wa Vatican.

This brings much confussions. Au mnasemaje nyie?

Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa Ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
 
Labda ni nomenclature tu, Sawa na Democratic Republic of Congo kwa nini tusiseme Congo AU Labda ilianza kama city baadae ikawa nchi kama Cape Town ikipanda daraja ikawa nchi.
 
Ukumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.

baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.

Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa

Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.

Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .

Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini.
kwa maelezo yako ni sahihi kusema RC ni Kanisa la Kimkakati?
 
Eneo linalozunguka kanisa kuu la Katoliki la Roma ni dogo kuweza kuitwa nchi.

Kanisa kuu na majengo yanayolizunguka na kuzungushiwa ukuta ndio eneo lililopewa heshima na hadhi ya kuitwa Jiji la Vatcan ndani ya Jiji kuu la Roma.
 
Kuna Kitu wana sheria chuoni wanasoma kwenye International Law kina itwa HOLY SEA kama sijakosea kitafte usome kitakusaidia sana
 
Ukumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.

baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.

Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa

Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.

Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .

Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini .
Daaah aise we jamaa musukuma kabsaa, unapigilia

"Mamulaka"sema"mamlaka"
 
Kuna Mexico na Mexico City Vatican City ni mji wa kidini sana siasa haziruhusiwi kabisa na kingine mkuu wanaoishi Vatican City wengi ni watu warumi kuhusu kuwepo kwa balozi za nchi zingine ni suala la kutafuta suluhu ya haraka au kama nchi ambayo inaubalozi wake Vatican City ikikubwa na ghasia ni rahisi mno kupata kukemewa na mapapa
 
Mkuu nakubali

Pole Kwa kua bunned

Aiseee JF ngumu hii
Ukumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.

baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.


Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa



Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.


Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .


Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini .
 
Ukumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.

baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.


Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa



Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.


Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .


Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini .
Upo sahihi
 
Kwa mujibu wa bwana mmoja anaitwa cosmas kanyerere anadai Vatican ni mahali ambapo shetani amepachagua kukaa.ingieni YouTube usikie vituko vya Vatican.
 
Back
Top Bottom