Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya Vitican bali mji wa Vatican.
This brings much confussions. Au mnasemaje nyie?
Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa Ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
This brings much confussions. Au mnasemaje nyie?
Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa Ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour