Kwanini haiitwi Vatican Country badala yake inaiwa Vatican City?

Kwanini haiitwi Vatican Country badala yake inaiwa Vatican City?

Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya vitican bali mji wa vatican.

This is brings much confussions. Au mnasemaje nyie.

Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
Kiingereza kigumu sana. Nashauri tutumie lugha yetu.

BTW... ulishawahi kujiuliza kwanini hii bank inaitwa CRDB bank? Maana katika CRDB hiyo 'B' waweza sema tayari imeshawakilisha neno Bank....
 
Kiingereza kigumu sana. Nashauri tutumie lugha yetu.

BTW... ulishawahi kujiuliza kwanini hii bank inaitwa CRDB bank? Maana katika CRDB hiyo 'B' waweza sema tayari imeshawakilisha neno Bank....
"Thi is brings"[emoji23][emoji16]
 
Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya vitican bali mji wa vatican.

This is brings much confussions. Au mnasemaje nyie.

Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
English ugoko [emoji23]
 
Ukumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.

baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.


Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa



Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.


Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .


Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini .
Papa alichukuliwa na nan mateka na kuuawa
 
Usidanganywe na hilo jina,hiyo ni nchi yenye mamlaka kamili (sovereign state) japo haina magereza na mahakama.
Mahakama inazo na majaji kabisa wanao na sheria wanazo na magereza wanayo ila ni ya kuwafunga mapadri,masisita na maaskofu tu wakikosea waweza fungwa ndani ya majumba yao hatoki humo hadi miaka ya jela iishe aweza fungwa nchini au nje ya nchi kwenye monastery zao
 
Kiingereza kigumu sana. Nashauri tutumie lugha yetu.

BTW... ulishawahi kujiuliza kwanini hii bank inaitwa CRDB bank? Maana katika CRDB hiyo 'B' waweza sema tayari imeshawakilisha neno Bank....
Hiyo ni typing error tu mkuu. Mi nko vizur sana. Badala ya kuandika this brings ikajiandika this is brings
 
Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya Vitican bali mji wa Vatican.

This brings much confussions. Au mnasemaje nyie?

Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa Ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
Hata maandiko matakatifu yakiiongelea vatican haikuitahi kama nchi ila mji.
.
Ufunuo wa Yohana 17:18
[18]Na yule mwanamke uliyemwona, ni mji ule mkubwa, wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.
 
Haya endelea kutema maboko
Ingia Google utajifunza kitu mdogo wangu
20211101_134932.jpg
 
Mkuu ,Majeshi ya Ufaransa yakiongozwa na Napoleon mwaka 1796 yaliuangusha upapa na mwaka 1798 yalimua Papa .




Nenda gugo hukoo mambo yameandikwa.
Don't trust much in Google because even you or me we can write and put anything without moderation.
 
Nasikitika kusema mpaka sasa sijaona jibu la swali la mtoa mada naona bragging nyingi tu na mipasho


Eti ndio great thinker

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ngoja nikujibu mimi si muhaya bwana......Ili sehemu iweze kuwa nchi kwa maana ya dola (state) lazima ikidhi vigezo vilivyotanabaishwa na mkataba wa Montevideo wa mwaka 1933.Vigezo ambavyo Vatican imevikizi

1.Idadi ya kudumu ya watu(permanent population) Vatican ina watu 800+

2.Mipaka inayoeleweka ,Vatican ina Hekari 129.

3.Kutambulika na mataifa mengine kama taifa, Vatican inatambulika na ina mahusiano na mataifa mengine ndo maana ina balozi nchi mbali mbali (Nuncios) na pia japo haina kiti umoja wa mataifa(Sio member) ila UN iliamua kuipa uwezo wa kushiriki shughuli za umoja wa mataifa bili kuwa mwanachama ikitambuilika kama (Holy see).

Baada ya kusema hayo sasa nikurudishe kwenye desa kamili, kwa nini inaitwa City na sio nchi well, tunarudi nyuma kwenye mapatano ya Laterano 1929 (Lateran Treaty) ambapo bwana yule mwenye mawaa na Mfashisiti Benito Musollini aliamua kuigawa baadhi ya sehemu ya Italia(mji) kwa papa ajitawale kwa raha zake, Kwenye sheria ya kimataifa mji ukishakua na uwezo wa kujitawala wenyewe basi utaitwa City State, ni kama alivyosema jamaa yangu bwana Waterloo nami bila tashiwiti nikaamua kumzodoa sababu aliandika kama juha, ni kweli kimantiki alikua sawa ili kiuwasilishaji alipuyanga Jina hilo likaendelea kutumika hata baada ya Umoja wa mataifa kuitambua Vatican kama nchi jina la Vatican City limeendelea kutumika.

*Ikumbukwe City state ni ndogo kwa state kwa muktadha wa eneo, Mussolini aligawa hekari 109 kwa papa na ikawa CITY state ila sasa Vatican ina Hekari 129 *
 
Back
Top Bottom