Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kiingereza kigumu sana. Nashauri tutumie lugha yetu.Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya vitican bali mji wa vatican.
This is brings much confussions. Au mnasemaje nyie.
Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
BTW... ulishawahi kujiuliza kwanini hii bank inaitwa CRDB bank? Maana katika CRDB hiyo 'B' waweza sema tayari imeshawakilisha neno Bank....