Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
kwa maelezo yako ni sahihi kusema RC ni Kanisa la Kimkakati?Ukumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.
baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.
Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa
Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.
Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .
Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini.
TakbiiirUsidanganywe na hilo jina,hiyo ni nchi yenye mamlaka kamili (sovereign state) japo haina magereza na mahakama.
Hapo unajiona umeongea point. Kumbe upupuKuna Kitu wana sheria chuoni wanasoma kwenye International Law kina itwa HOLY SEA kama sijakosea kitafte usome kitakusaidia sana
Daaah aise we jamaa musukuma kabsaa, unapigiliaUkumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.
baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.
Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa
Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.
Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .
Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini .
Halafu ni dokta!!!Muache mukuu apumuzike [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Daaah aise we jamaa musukuma kabsaa
Unapigilia
"Mamulaka"sema"mamlaka"
Ukumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.
baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.
Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa
Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.
Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .
Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini .
Upo sahihiUkumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.
baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.
Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa
Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.
Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .
Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini .