Kiingereza kigumu sana. Nashauri tutumie lugha yetu.Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya vitican bali mji wa vatican.
This is brings much confussions. Au mnasemaje nyie.
Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
"Thi is brings"[emoji23][emoji16]Kiingereza kigumu sana. Nashauri tutumie lugha yetu.
BTW... ulishawahi kujiuliza kwanini hii bank inaitwa CRDB bank? Maana katika CRDB hiyo 'B' waweza sema tayari imeshawakilisha neno Bank....
English ugoko [emoji23]Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya vitican bali mji wa vatican.
This is brings much confussions. Au mnasemaje nyie.
Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
Lugha ya watu, watu wanaishobokea wakati inawasuta"Thi is brings"[emoji23][emoji16]
Papa alichukuliwa na nan mateka na kuuawaUkumbuke Rumi zaman ilitawala kama Mamulaka NASIO DINI.
baadae wakaingiza Dini ndani ya Mamulaka yao ivo RUMI IKAWA INATAWALA KISIASA NA KIDINI.
Mwaka 1798 , Papa alivyochukuliwa mateka nakuuwa, RUMI ilipoteza mamulaka yake ya Kisiasa na Kidini ila Dini ikaendelea kukua nakukuaa
Baada ya vita ya kwanza ya Dunia kuisha, MUSOLIN kwa sababu ya msaada alopewa na Dini ya kirumi. Aliingia mkataba nao ambao ,Aliwapa WARUMI. MAMULAKA YAO YA KIDINI NA KISIASA.
Toka huo mwaka ,Rumi ikajitawala Kisiasa( mamulaka) na Kidini .
Ila kwakua Nchi inabaki kua ITALIA , basi Rumi ya Vatican wanabaki kua sehem ya nchi hiyo lkn yenye kujitawala , mamulaka waloipata kupitia Dini .
Nashindwa kwenda huko sabab ya kimalkia kimeninyanyapaaaMkuu ,Majeshi ya Ufaransa yakiongozwa na Napoleon mwaka 1796 yaliuangusha upapa na mwaka 1798 yalimua Papa .
Nenda gugo hukoo mambo yameandikwa.
Mahakama inazo na majaji kabisa wanao na sheria wanazo na magereza wanayo ila ni ya kuwafunga mapadri,masisita na maaskofu tu wakikosea waweza fungwa ndani ya majumba yao hatoki humo hadi miaka ya jela iishe aweza fungwa nchini au nje ya nchi kwenye monastery zaoUsidanganywe na hilo jina,hiyo ni nchi yenye mamlaka kamili (sovereign state) japo haina magereza na mahakama.
Hiyo ni typing error tu mkuu. Mi nko vizur sana. Badala ya kuandika this brings ikajiandika this is bringsKiingereza kigumu sana. Nashauri tutumie lugha yetu.
BTW... ulishawahi kujiuliza kwanini hii bank inaitwa CRDB bank? Maana katika CRDB hiyo 'B' waweza sema tayari imeshawakilisha neno Bank....
Hata maandiko matakatifu yakiiongelea vatican haikuitahi kama nchi ila mji.Hii inafikirisha kidogo jamani. Vatican ina mabalozi nchi zote lakini haijiiti nchi ya Vitican bali mji wa Vatican.
This brings much confussions. Au mnasemaje nyie?
Na cha ajabu haiko hata kwenye nchi za umoja wa Ulaya yaani EU. This still brings antagonistc behaviour
Si ungenyamaza tu😅😅😅Kwa waliosoma Political science kuna kitu kinaitwa City state
SinyamaziiSi ungenyamaza tu😅😅😅
Haya endelea kutema mabokoSinyamazii
Yapi hayo yaliyojificha??Strategic city/country. Kuna mengi sana yamejificha..
ID yako na akili yako vinaendana.Hongera kwa kumechisha.Kwa mujibu wa bwana mmoja anaitwa cosmas kanyerere anadai Vatican ni mahali ambapo shetani amepachagua kukaa.ingieni YouTube usikie vituko vya Vatican.
Ingia Google utajifunza kitu mdogo wanguHaya endelea kutema maboko
Don't trust much in Google because even you or me we can write and put anything without moderation.Mkuu ,Majeshi ya Ufaransa yakiongozwa na Napoleon mwaka 1796 yaliuangusha upapa na mwaka 1798 yalimua Papa .
Nenda gugo hukoo mambo yameandikwa.
Sawa kabisa. Lo Stato della Città del Vaticano.Kwa waliosoma Political science kuna kitu kinaitwa City state
Ngoja nikujibu mimi si muhaya bwana......Ili sehemu iweze kuwa nchi kwa maana ya dola (state) lazima ikidhi vigezo vilivyotanabaishwa na mkataba wa Montevideo wa mwaka 1933.Vigezo ambavyo Vatican imevikiziNasikitika kusema mpaka sasa sijaona jibu la swali la mtoa mada naona bragging nyingi tu na mipasho
Eti ndio great thinker
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app