GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Jamani naomba kufafanuliwa sababu hasa inayosababisha wapiga picha za
Runinga na wengineo wasiruhusiwe kupiga picha wakati hakimu/Jaji anaendesha
kesi, kutoa hukumu n.k
Kama mahakimu wetu ni waadilifu kwanini iwe tatizo? Kama mataifa mengine yanafuata
utaratibu huu tunaoutumia binafsi naona sio busara kuwafuatisha, tena iruhusiwe tu hata
kwenye katiba mpya kuwa iwapo kuna chombo kinaweza kurusha 'Live' kesi yoyote basi
kifanye hivyo.
Kuna ubaya gani tukishuhudia kesi zinavyoendeshwa mahakama kuu kama tunavyoshuhudia
Bunge linavyoendeshwa DODOMA? Pale sio polisi kwamba kuna upelelezi unaendelea.
Ingekuwa vizuri sana kama kuna TV au REDIO ambayo ingekuwa na kipindi KUTOKA MAHAKAMANI,
KUTOKA MAHAKAMA KUU, HUKUMU...... n.k.
Binafsi naona huo ndio uadilifu.
Runinga na wengineo wasiruhusiwe kupiga picha wakati hakimu/Jaji anaendesha
kesi, kutoa hukumu n.k
Kama mahakimu wetu ni waadilifu kwanini iwe tatizo? Kama mataifa mengine yanafuata
utaratibu huu tunaoutumia binafsi naona sio busara kuwafuatisha, tena iruhusiwe tu hata
kwenye katiba mpya kuwa iwapo kuna chombo kinaweza kurusha 'Live' kesi yoyote basi
kifanye hivyo.
Kuna ubaya gani tukishuhudia kesi zinavyoendeshwa mahakama kuu kama tunavyoshuhudia
Bunge linavyoendeshwa DODOMA? Pale sio polisi kwamba kuna upelelezi unaendelea.
Ingekuwa vizuri sana kama kuna TV au REDIO ambayo ingekuwa na kipindi KUTOKA MAHAKAMANI,
KUTOKA MAHAKAMA KUU, HUKUMU...... n.k.
Binafsi naona huo ndio uadilifu.