Kwanini hakuna Kenyan high ranking official aliyemtembelea Tundu Lissu?

Kwanini hakuna Kenyan high ranking official aliyemtembelea Tundu Lissu?

Tundu Lissu amepata quality time ya kutibiwa na kupumzika hapa Nairobi. Hilo ndo jambo la muhimu. Mlitaka tuanze kumfata na camera huko hospitalini? Hiyo si kawaida ya wakenya. Wanaomtembelea wanafanya hivo kimya kimya. Hapo ni hospitalini bana, shida wengine wenu mmezoea kuuza sura tu.
 
Lisu atembelewa na mkubwa wa EU?? Who's Lisu?? Hio ni ndoto ndg yangu wazungu hawafanyi mambo kijinga na hawezi tembelewa huyo mtu maana hawana maslahi yoyote nae. Yeye yupo pale kama mgonjwa wa kawaida tu.
Wazungu wanafanyaga mambo kwa interest zao sasa huyu atawasaidia nini EU??
Kwahiyo samia ana maslahi gani na huyu jamaa mana alikwenda kumsalimia hospital nairobi
 
Tundu Lissu amepata quality time ya kutibiwa na kupumzika hapa Nairobi. Hilo ndo jambo la muhimu. Mlitaka tuanze kumfata na camera huko hospitalini? Hiyo si kawaida ya wakenya. Wanaomtembelea wanafanya hivo kimya kimya. Hapo ni hospitalini bana, shida wengine wenu mmezoea kuuza sura tu.
I like you comment
 
Barbosa na lisu bana kama uji na mgonjwa, halali, atatulia pale lisu akishatangulia mbele ya haki
 
Hapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?

Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Ungeuliza hivi ungepata jibu.

Kwanini viongozj wa juu wa Kenya waliomtembelea Lisu hawkutangazwa na akatangazwa first lady peke yake?
 
Hapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?

Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Oya alipewa livu mubashara na nchi ya Kenya kitu ambacho kingekutoa makend.e ....acha uhuni wa kipuuzi si ulisema utakunywa sumu kama Kenya watakubali kufanya livu coverage Ki press cha Lissu?? Ngedere ww
 
Hapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?

Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Tuliogopa kulengwa na Watu wasiojulikana
 
Back
Top Bottom