Ni wale wale tu. Kwanini waende kumuona wakati wao pia wanawafanya hivyo watu wao.
Kwahiyo samia ana maslahi gani na huyu jamaa mana alikwenda kumsalimia hospital nairobiLisu atembelewa na mkubwa wa EU?? Who's Lisu?? Hio ni ndoto ndg yangu wazungu hawafanyi mambo kijinga na hawezi tembelewa huyo mtu maana hawana maslahi yoyote nae. Yeye yupo pale kama mgonjwa wa kawaida tu.
Wazungu wanafanyaga mambo kwa interest zao sasa huyu atawasaidia nini EU??
Samia ni mzungu??Kwahiyo samia ana maslahi gani na huyu jamaa mana alikwenda kumsalimia hospital nairobi
NimekuelewaSamia ni mzungu??
I like you commentTundu Lissu amepata quality time ya kutibiwa na kupumzika hapa Nairobi. Hilo ndo jambo la muhimu. Mlitaka tuanze kumfata na camera huko hospitalini? Hiyo si kawaida ya wakenya. Wanaomtembelea wanafanya hivo kimya kimya. Hapo ni hospitalini bana, shida wengine wenu mmezoea kuuza sura tu.
Ungeuliza hivi ungepata jibu.Hapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Oya alipewa livu mubashara na nchi ya Kenya kitu ambacho kingekutoa makend.e ....acha uhuni wa kipuuzi si ulisema utakunywa sumu kama Kenya watakubali kufanya livu coverage Ki press cha Lissu?? Ngedere wwHapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?
Tuliogopa kulengwa na Watu wasiojulikanaHapa Bongo tunaambiwa kwamba Dunia nzima inamjua na kumjadili Tundu Lisu, kwa kuwa kuna Wakenya hapa JF ningependa kufahamu kwa nini hakuna mkubwa yoyote si wa Serikali wala Chama cha Siasa wa nchi ya Kenya aliyefika kumjulia hali mgonjwa namba 1 Duniani, Tundu Lisu kwa miezi 4 aliyokuwa amelazwa Hospitalini hapo Nairobi?
Msiniambie hawamjui Tundu Lisu ni nani? Hilo sitaamini, sasa hivi tunaambiwa Mkuu wa EU, Spika wa Bunge la EU wanafahamu uwepo wa Tundu Lisu mjini Brussels na amepewa na EU ulinzi mkali na kwamba punde watafika kumjulia hali, lkn nirudi Afrika, Kenya kwa nini hawakufika Hospitalini?