Kwanini hamna Mwana CCM aliyempongeza LISSU au kumsema vibaya Freeman Mbowe?

Kwanini hamna Mwana CCM aliyempongeza LISSU au kumsema vibaya Freeman Mbowe?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Am still trying to figure out why ? Wanachama wa CCM asilimia Kubwa kama sio wote wanapambana kuhakikisha FAM anabaki kua Mweyekiti.

Ninawaza tu yaan katika Siasa ya Vyama zaidi ya 15 vyenye lengo la Dola , wanatokea Wafuasi wa Cha Dola, wakakuambia , Mwenyekiti komaaa ,uendelee kua Mwenyekiti , ukiacha ukikubali kushindwa ,utakua Falaaaaa ..

Yaan MwanaCCM ambaye anatambua hapo mbele Kuna Uchaguzi wa chama pinzani, bado anakomaa tu, Ukishindwa ,utakua falaaa sana.

Kwa Lugha nyingine wanamwambia Freeman Mbowe Kwa namna yoyote Ile lazima ushinde bila kujali ni uchaguzi au laaah!!.

Alafu wanaCHADEMA nao Muendelee kufurahia uenyekiti wa Freeman Mbowe?.
 
Mpinzani wa kweli huwezi kisifiwa na mshindani mwenzio, ukiona mwenye madaraka anamsifu mpinzani wake ujuwe hapo mmoja wao kashanunulika.
 
Lissu mdomo wake ni mchafu kama ambavyo Samia alivyosema:


View: https://youtu.be/MeZcvbMQhaY?si=9opGpxL5iL09_4N8

Kiongozi yeyote wa upinzani mwenye mdomo msafi moja kwa moja anakuwa hayupo compatible na siasa za Tanzania.

Kwamba aliyeiba pesa za serikali hapaswi kuitwa mwizi kwasababu neno mwizi ni kauli inayotolewa na mtu mwenye mdomo mchafu

Badala yake tumuite "muheshimiwa amechukua pesa za serikali kinyume na utaratibu?"
 
Back
Top Bottom