Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Hilo ndio swali kuu kwa sasa. Kwanini Hamza alikuwa akiwapiga risasi polisi tu na sio raia wengine?
Mashuhuda wanasema Hamza alikuwa akisema anawataka Polisi awamalize na hakuwa na dhamira mbaya na raia wengine waliokuwepo mazingira yake. Kama kuna raia yoyote alipigwa na risasi huenda ilikuwa ni bahati mbaya au alishukiwa kuwa sehemu ya polisi.
Je, Hamza alikuwa na msongo wa mawazo baada ya kufilisika? Sasa kwanini awatandike risasi polisi tu?
Je, Hamza alikuwa gaidi? Sasa kwanini awatandike risasi polisi tu?
Hamza pamoja na kuwa alikuwa kada na mfadhili wa CCM kwa miaka kadhaa mpaka mauti yalipomkuta, bado alionesha hasira na chuki dhidi ya jeshi polisi wakati wa hili tukio.
Kwanini Hamza alikuwa akiwalenga polisi tu?
Mashuhuda wanasema Hamza alikuwa akisema anawataka Polisi awamalize na hakuwa na dhamira mbaya na raia wengine waliokuwepo mazingira yake. Kama kuna raia yoyote alipigwa na risasi huenda ilikuwa ni bahati mbaya au alishukiwa kuwa sehemu ya polisi.
Je, Hamza alikuwa na msongo wa mawazo baada ya kufilisika? Sasa kwanini awatandike risasi polisi tu?
Je, Hamza alikuwa gaidi? Sasa kwanini awatandike risasi polisi tu?
Hamza pamoja na kuwa alikuwa kada na mfadhili wa CCM kwa miaka kadhaa mpaka mauti yalipomkuta, bado alionesha hasira na chuki dhidi ya jeshi polisi wakati wa hili tukio.
Kwanini Hamza alikuwa akiwalenga polisi tu?