sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Binafsi ningekuwa sina ABC ya kimalkia nadhani maisha yangu yangekuwa ya taabu sana.Kuna uhusiano mkubwa kati ya uchumi wa nchi na lugha yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi ningekuwa sina ABC ya kimalkia nadhani maisha yangu yangekuwa ya taabu sana.Kuna uhusiano mkubwa kati ya uchumi wa nchi na lugha yake.
Mara nyingi wasiojua Kingereza tunajifichia kwenye hii sababu ya kitotoKumbuka ambao hawajui kiingereza na wanatamba na lugha zao ni mataifa tajiri. Bidha wanazozalisha wanaandika kwa lugha yao na unabidi ujifunze hiyo ludha ili uelewe kilichoandikwa. Wewe na kiswahili chako unazalisha nini ili uwauzie wajifunze lugha yako? Kiingereza ni muhimu ndio maana ukikijua unaonekana ni msomi kumbe ni mbwembwe tu! Angalia English na French zote ni za mataifa makubwa yanayojulikana duniani, ukitaka ujulikane na usiwe na shida duniani zijue hizo lugha.
Shangaa na wewe sasaHakuna aliyebisha, mimi naongelea katika mazingira ambayo elimu ya juu inatolewa kwa kiingereza, utasemaje umesoma na huijui lugha inayotumika kufikisha elimu husika kwa wanafunzi?
Walimu tunapitia magumu sana😂, ila ndio hivo “You can lead a horse to water, but you can't make him drink”.Kumrekebisha mtu ambae anafanya makosa huku yeye akiamini 100% kuwa yupo sawa sio kazi rahisi.
Cha msingi umemwelewesha. Kama akikubali kujifunza sawa, akikataa mwache abaki na ujinga wake.
Upo sawa. Weekend njema.Walimu tunapitia magumu sana😂, ila ndio hivo “You can lead a horse to water, but you can't make him drink”.
Sasa bro, elimu yq juu inatolewa kwa kizungu, sasa ulielewaje masomo yako makuu, na, wakati lugha iliyotumika huiwezi!.? Ndio maana, tunasema kwa bongo, kama kizungu hakiendi, basi wewe kilaza!it'd just simple as that, hii formula ni kwa bongo tu!Yaani hii nchi MTU anayejua kiingereza ndo MTU anayekubalika Kama msomi.
Inafikirisha Sana hili jambo. Tunapima level ya intelligent kwa kuangalia lugha.
NB: Vijana jifunzeni kiingereza ili msipitwe na maarifa maana maarifa mengi yapo katika lugha ya kiingereza.
Naona unachanganya mada. Kuwa ' intelligent' kwako ndio kuwa msomi?Yaani hii nchi MTU anayejua kiingereza ndo MTU anayekubalika Kama msomi.
Inafikirisha Sana hili jambo. Tunapima level ya intelligent kwa kuangalia lugha.
NB: Vijana jifunzeni kiingereza ili msipitwe na maarifa maana maarifa mengi yapo katika lugha ya kiingereza.