Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Siku hizi Harmonize anautumia sana huu msemo..
Nimemuona akisema hivi kadhaa hasa anapoitwa kwenye Interviews zake.
Jana baada ya kupita pita mtandaoni nikakutana na video moja YouTube inayohusu ile shoo yake ya CCM Dodoma, kabla hajamtambulisha msanii wake Ibrah akaliweka tena hili neno..
"Kwa kuwa sisi tunatoka kwenye familia za kimaskini na tunasaidiana wenyewe kwa wenyewe..."
Sababu ya kusema hivi ni nini?
Anataka tumuonee huruma au vipi??
Nimemuona akisema hivi kadhaa hasa anapoitwa kwenye Interviews zake.
Jana baada ya kupita pita mtandaoni nikakutana na video moja YouTube inayohusu ile shoo yake ya CCM Dodoma, kabla hajamtambulisha msanii wake Ibrah akaliweka tena hili neno..
"Kwa kuwa sisi tunatoka kwenye familia za kimaskini na tunasaidiana wenyewe kwa wenyewe..."
Sababu ya kusema hivi ni nini?
Anataka tumuonee huruma au vipi??