Kwanini hatuna maeneo ya kupumzikia katika mitaa yetu?

Kwanini hatuna maeneo ya kupumzikia katika mitaa yetu?

Kwan kuna shida gan ukapumzikia nyumban kwako mkuu as long as ndio hapo hapo mtaani unapopazungumzia?
 
Kwan kuna shida gan ukapumzikia nyumban kwako mkuu as long as ndio hapo hapo mtaani unapopazungumzia?
Aisee, Nyumbani ni sawa ila 1. Panachosha na kila wakati utakuwa na shughuli tofauti-tofauti za kufanya i.e. hupumziki ki-vile.
2. Huoni badiliko kwenye nafsi au kujifunza (Kuona na kusikia) kitu kipya i.e. mambo ni yale-yale e.g. kama kuna kero, basi utakuwa nayo tuuu muda wote.
3. Hupati faragha ya kutafakari mambo binafsi au na wenzio.
4. Watoto wanakuwa maduwanzi- hawachangamki na vile vimichezo vyao vya kukimbia-kimbia, kupiga kelele n.k. kwani hapo nyumbani watakemewa au wataogopa wakubwa.
 
Kwa upande wa Arusha nimeona maeneo machache ya kupumzikia japo baadhi unachangia hela kidogo haizid hata 5000 ni raha sana ukiwa maeneo tulivu kama hayo
 
Watu wetu wa urban planning sio wanao enda na wakat na naona wengi ni conservative sanaa,

Mfano iyo dodoma inayo tajwa sasa as jiji jipya ingependeza ktk master plan yao jiji ilo lijumuishe vitu vya burudan mfano sport tourism, michezo kama racing e.g magari mfano wale wa formula 1, horse racing,

Ninacho kiona ni kizazi cha baadae kitataka ku experience michezo tofauti tofauti sio.kila siku watoto wetu wakute vichaka vya kucheza kombolela tu

To.me, nafikiri itakuwa poa sanaa tuki fikiria kutenga maeneo kama hayo then tuka ruhusu investors waka inveat ktk izo michezo kama ya rcing hakika itleta impact kubwa sanaa baadae ktk.uchumi wa taifa
Hii nchi ili yote yafanyike lazima tupate RAIS mwenye uono wa mbali wa miaka 50 mbele,Rais ambae target yake ni wale watoto ambao watazaliwa kuanzia 2025 wakikua waikute Tanzania ya Namna gani.

Hawa marais wa sasa ambao kila mtu anataka akimaliza aonekane kafanya nn,n ngumu sana kuwa na Long Terms Plans,ndio tunarudi kule kule hii nchi inahitaji pure patriotic ku run this damn country.

tofaut na hapo mazingira ya hii nchi yetu yataendelea kuwa kama jalala karne na karne,. Bila kupata TOP leader mwenye positive mind na swala la mazingira kwenye nchi yetu kuna vitu tutabaki navyo kwenye imagination zetu tu mpk umauti unatukuta.
 
poor planning, na postcode ndio hizo zimeanza sijui ufanisi wake na makazi yetu jinsi yalivyo.
 
poor planning, na postcode ndio hizo zimeanza sijui ufanisi wake na makazi yetu jinsi yalivyo.
Ni Kweli, Plans zilizopo zimekaa kisiasa zaidi na sio stable. Ni Vulnerable to changes at any time. Makazi nayo usiseme! ni kichefuchefu - Hakuna miundo mbinu ya uhakika, hakuna Utaratibu wa Ujenzi unaofuatwa, Hakuna Umakini wa Wasimamizi/Wataalam n.k.n.k
Tutaonaga hapohapo.
 
Aisee, Nyumbani ni sawa ila 1. Panachosha na kila wakati utakuwa na shughuli tofauti-tofauti za kufanya i.e. hupumziki ki-vile.
2. Huoni badiliko kwenye nafsi au kujifunza (Kuona na kusikia) kitu kipya i.e. mambo ni yale-yale e.g. kama kuna kero, basi utakuwa nayo tuuu muda wote.
3. Hupati faragha ya kutafakari mambo binafsi au na wenzio.
4. Watoto wanakuwa maduwanzi- hawachangamki na vile vimichezo vyao vya kukimbia-kimbia, kupiga kelele n.k. kwani hapo nyumbani watakemewa au wataogopa wakubwa.
Dah ni kwel mkuu umenena vyema sana.Nitayafanyia kazi haya
 
Back
Top Bottom