Kwanini hatuna tax returns Tanzania ?

Kwanini hatuna tax returns Tanzania ?

YoungBlaks

New Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Habari wadau.
Naomba kuelimishwa kidogo, au tuelimishane,
Mtanzania anakatwa kodi kwenye mapato yake (mshahara) then akienda kununua vitu au kupata huduma kutumia pesa ile ambayo amekatwa kodi tayari(mshahara), pia analipia kodi ile huduma/bidhaa anayonunua, je ni sahihi?
Na inawezekana kurudishiwa kodi unayokatwa kwenye bizaa pindi upelekapo Receipts TRA?
 
Tunataka kujenga viwanda.
Tunafikiria tuanze kukata kodi kanisani (sadaka)
Maana naona huko pesa ni nyingi halafu serikali haifaidi
 
Hakuna namna nikukubaliana na hali halisi
 
ukinunua kitu kodi anatakiwa alipe mfanyabiashara lakini wao wana advantage ya kuhamishia mzigo wa kodi kwa mtumiaji/mnunuzi kupitia bei.hamna namna ya kukwepa maana wakiongezewa kodi wao wanapandisha bei tuu.
 
Uwezekano upo ila ishu huanza ukienda kudai: kwa kigezo kua huwezi kuidai serikali
 
Back
Top Bottom