Kwanini hauendi kwenye matamasha ya Wasanii wa Tanzania?

Kwanini hauendi kwenye matamasha ya Wasanii wa Tanzania?

Mimi siendagi kwasababu wasanii wengi hawajui kuperform live, wanachojua wao ni kusema "piga kelele" huku wakikata mauno na kukimbia kimbia kama mwehu.

Wewemri
kwa sababu umri wangu umeshapita level ya kuwa excited .na hawa wasanii wa Bongo.
 
Nimeachaa kwenda Kwa sababu nimekuwa mkubwa Sasa mkuu .mara ya mwisho kwenda Kwenye tamasha la fiesta lilofanyika cku mbili kisa wasanii hawakumaliza kuimba wt , leaders clubs
 
Mimi siendagi kwasababu wasanii wengi hawajui kuperform live, wanachojua wao ni kusema "piga kelele" huku wakikata mauno na kukimbia kimbia.

Wewe je?
Mimi hata kwenye maharusi huwa siendi kwa sababu ya ujinga huo huo,mara simameni,mara gongeni cheers,mara bibi harusi amependeza au hajapendeza,utafikiri mpo kindergarten...
 
Mimi hua naenda kuwinda mishangazi na sio kuangalia tamasha,

Au nakosea?
 
Mimi siendagi kwasababu wasanii wengi hawajui kuperform live, wanachojua wao ni kusema "piga kelele" huku wakikata mauno na kukimbia kimbia.

Wewe je?
unakuta mtu kaenda studio ana record wimbo huku anaimba mwenyewe alafu ukimleta live hawezi kuimba wimbo wake hawezi. sasa kuna haja gani ya kwenda kumshangaa mtu alieshindwa kuimba wimbo wake aliorecord mwenyewe na kubaki kutupigia makelele huku ana ruka ruka .
 
Mimi siendagi kwasababu wasanii wengi hawajui kuperform live, wanachojua wao ni kusema "piga kelele" huku wakikata mauno na kukimbia kimbia.

Wewe je?
Uko kama mimi mkuu, imagine umelipa kiingilio mtu anakutesa badala ya kukuburudisha Mara twende kushoto kulia, say yeyooo,washa techi, piga kelele.
Mm napenda sana live band
 
Back
Top Bottom