Kwanini hauendi kwenye matamasha ya Wasanii wa Tanzania?

Kwanini hauendi kwenye matamasha ya Wasanii wa Tanzania?

Matamasha ya kibongo ulinzi ni mdogo sana wengi wanapenda kufurahi ila ukiwaza usalama wako ukiwa ndani ya tamasha na nje na ukarudi salama na mali zako zote mshukur mungu😂
 
Sema yoooooh,
piga keleleeeee
niendelee nisiendeleeee!
Kama ni live uwakute akina Damien Soul,JIDE,Banana Zorro,Grace Matata lakini hawa wengine aibu tupu
 
Back
Top Bottom