MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
- #21
Watu tukikamatia Keyboard hakuna kinachoshindikana, tunakua WARRIORS but deep down tunajua wenyeweAlafu umetuitaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu tukikamatia Keyboard hakuna kinachoshindikana, tunakua WARRIORS but deep down tunajua wenyeweAlafu umetuitaje?
Ñ kweli ila sio woteWatu tukikamatia Keyboard hakuna kinachoshindikana, tunakua WARRIORS but deep down tunajua wenyewe
NAKAZIA.!
we wakishua
BlackBerry Pearl 3G 9105 kitambo sana Vetawe wakishua
Tinder ( na Exotic kidogoo) itoe hapo mzee baba, huko kwengine kote(pamoja na FB) kumejaa vinuka mkojoWale mnaotafuta malaya au wazungu wa kudate nao mtandaoni basi Facebook ndo pahala pake.
No scam✅️
Badoo, Tinder, Tagged, Exotic Tz n.k zikasome
Kama unafanya biashara na wateja wako wengi unategemea kuwapata mtandaoni basi Facebook MarketPlace ndo pahala pake✅️
mfanyabiashara wa simu mkuu, karibuUnafanya biashara mkuu??
Nithibitishie apa kuwa wazazi/mmoja wa wazazi wako hatumii FacebookFace book ni ya watoto .
njoo Tinder hutajutiaKama unafanya biashara na wateja wako wengi unategemea kuwapata mtandaoni basi Facebook MarketPlace ndo pahala pake✅️