Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
FB inatia aibu sanaSi hata humu kuna Ushamba na Utoto mwingi tu...AU unazungumzia wapi Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FB inatia aibu sanaSi hata humu kuna Ushamba na Utoto mwingi tu...AU unazungumzia wapi Mkuu?
Inatia aibu kutegeme wewe unaitumiaje...FB inatia aibu sana
Mimi Comments za kule huwa nacheka sana[emoji1787]Fb ina raha yake kimbe wadau wa comments tupo wengi
Kila mtu apende kitu chake binafsi Mimi natumia Facebook muda mrefu Sana na sijapanga kuacha kabisa kwanza wanaosema bado unatumia Facebook Ni washamba kabisaHello keyboard warriors,
Imekuwa kawaida sana kusikia kauli kama "Bado unatumia Facebook?" pale mtu anaposhika simu yako na kuikuta hiyo app.
Binafsi mtandao wangu pendwa wa muda wote ukitoa JamiiForums ni Facebook.
Kwanini wewe hutumii Facebook ilhali watu maarufu wote wanautumia na mnatuchukuliaje sisi tunautumia, na wale mnaotumia huo mtandao mnawachukuliaje ambao hawautumii?
Naomba jina la pageWale mnaotafuta malaya au wazungu wa kudate nao mtandaoni basi Facebook ndo pahala pake.
No scam[emoji736]️
Badoo, Tinder, Tagged, Exotic Tz n.k zikasome
Facebook kwangu ni no moja kwanza rahisi kuperuzi, wanaosema ivo nawaona washamba tu Facebook inakuunganisha na watu uliopoteana nao kitambo hata kufanya biashara Facebook rahisi sana na wateja ni wengi ad raha.Hello keyboard warriors,
Imekuwa kawaida sana kusikia kauli kama "Bado unatumia Facebook?" pale mtu anaposhika simu yako na kuikuta hiyo app.
Binafsi mtandao wangu pendwa wa muda wote ukitoa JamiiForums ni Facebook.
Kwanini wewe hutumii Facebook ilhali wat maarufu wote wanautumia na mnatuchukuliaje sisi tunautumia, na wale mnaotumia huo mtandao mnawachukuliaje ambao hawautumii?
Naijua ila sijawahi kuwa na account huko😂😂Unataka kutuambia hata Facebook huijui inaonekanaje?
Hapo kwa wateja wa uhakika Facebook nimekuelewa kufanya biashara Facebook utaenjoy.Sababu za hao wapuuzi wanaouliza "bado unatumia Facebook?" Ni mbili tu;
1. Wengi wao wapo mitandaoni kwa ajili ya kuchat tu na kujiburudisha.
2. Na hata wale wanaofanya biashara wana upuuzi wa kudhani Facebook haina watu wengi kama Instagram na mitandao mingine. Wasichokijua ni kuwa bado Facebook ni mtandao unaoongoza kwa wafuasi. Na kama ni wateja basi Facebook inaongoza kwa kuwa na wateja wa uhakika. Madingi wengi wako Facebook.
Ni mitandao miwili tofauti hakuna mbadala wa fbFB mwaka wa 5 sasa toka niache kuitumia
yan nilipoijua jf nkaachana na FB mazima...
2010 nadhani nilifungua na simu ya mtu yenye internet nikasahau password nayotumia kwa Sasa nimefungua 2012Natumia toka 2011 tena nilifunguliaga akaunti internet cafe pale njia panda ya kuvuka Msewe kutokea Morogoro Road, sasa nitaanzia wapi kuiacha!
Kwa nini hakuna mbadala??Ni mitandao miwili tofauti hakuna mbadala wa fb
FB ujinga wa kishamba mwingiInatia aibu kutegeme wewe unaitumiaje...
Hakuna mtandao uliokamilika...hata humu kuna aibu zake pia..