Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huwa kuna watu wamevurugwa kuliko hata wa huku kwenye fake IdMimi Comments za kule huwa nacheka sana[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa kuna watu wamevurugwa kuliko hata wa huku kwenye fake IdMimi Comments za kule huwa nacheka sana[emoji1787]
Mtandao ulinizidi nguvu ,nikaona yakheri nijitoe ,ilinipa shida mwanzoni,ila sasa nishasahau kbsa ,kikubwa ni matumizi ya wakati ,kila nilikuwa nikishika simu ,mikono iko programmed kufungua fb ,na nikiingia nakula muda wa kutosha ,niliyoyapanga hayaendi kwa wakati,nikaamua kutokaHello keyboard warriors,
Imekuwa kawaida sana kusikia kauli kama "Bado unatumia Facebook?" pale mtu anaposhika simu yako na kuikuta hiyo app.
Binafsi mtandao wangu pendwa wa muda wote ukitoa JamiiForums ni Facebook.
Kwanini wewe hutumii Facebook ilhali watu maarufu wote wanautumia na mnatuchukuliaje sisi tunautumia, na wale mnaotumia huo mtandao mnawachukuliaje ambao hawautumii?
Humu mabogas yapo mengi sana ila yanajifanya majanga kwa kuwa wanatumia fake ID. Mi natumia FB.Stumii Facebook, ila nimekupa like kwenye comment yako! Sio ujanja kutumia mtandao flani au kutotumia mtandao flani....hata jf mbona kuna watumiaji wake baadhi ni wajinga kuliko hata wa hiyo mitandao mingine ambayo baadhi wanaona ni ya kijinga!
Hahaaaaa, unaweza waita "keyboard and fake ID warriors"Hello keyboard warriors,
Imekuwa kawaida sana kusikia kauli kama "Bado unatumia Facebook?" pale mtu anaposhika simu yako na kuikuta hiyo app.
Binafsi mtandao wangu pendwa wa muda wote ukitoa JamiiForums ni Facebook.
Kwanini wewe hutumii Facebook ilhali watu maarufu wote wanautumia na mnatuchukuliaje sisi tunautumia, na wale mnaotumia huo mtandao mnawachukuliaje ambao hawautumii?
Tuko wengi. Na mi jibu ni hilo hilo.Mimi sijawahi kutumia Facebook na sina sababu yoyote ile ni interest tu
Ni kweli,, sio lazima wote tutumie FacebookTuko wengi. Na mi jibu ni hilo hilo.
TujuzeFb tamu sana watu hawajui tu
Fb Ina raha yake we jiungeTujuze
jakosea mkuuUNAJUA TRENI NI MOJA LAKINI KUNA MADARAJA;- LA KWANZA, LA PILI NA LA TATU.
MITANDAO YA KIJAMII INA MADARAJA PIA,
WATUMIAJI WA TWITTER, LINKEDIN, PINTEREST NI MITANDAO YA WANAO JIELEWA, WAKO VIZURI KICHWANI.
WATUMIAJI WA FACEBOOK, WENGI NDIO KAMA WALE WAUMINI WA ZUMALIDI.
KULE KUNA WATU WANA AMINI KUNA MIKOPO INATOLEWA NDANI YA MASAA 24,
NA MASHARTI YA MKOPO, USIWE NA DHAMANA!
NA USISAHAU MARAFIKI WANAFANANA TABIA!
Nisha iachaFb Ina raha yake we jiunge
Unatambua kuwa Twitter sikuiz kumejaa malaya na jobless wenye matusi ya haraka haraka?UNAJUA TRENI NI MOJA LAKINI KUNA MADARAJA;- LA KWANZA, LA PILI NA LA TATU.
MITANDAO YA KIJAMII INA MADARAJA PIA,
WATUMIAJI WA TWITTER, LINKEDIN, PINTEREST NI MITANDAO YA WANAO JIELEWA, WAKO VIZURI KICHWANI.
WATUMIAJI WA FACEBOOK, WENGI NDIO KAMA WALE WAUMINI WA ZUMALIDI.
KULE KUNA WATU WANA AMINI KUNA MIKOPO INATOLEWA NDANI YA MASAA 24,
NA MASHARTI YA MKOPO, USIWE NA DHAMANA!
NA USISAHAU MARAFIKI WANAFANANA TABIA!
Mimi pia nafanya biashara hiyo hiyo Asantemfanyabiashara wa simu mkuu, karibu
FB ujinga wa kishamba mwingi
Kila mmoja upo kivyake hata jf haifanani na FB...jf Ni jf unachopata huwezi pata fb na vya fb hupati hukuKwa nini hakuna mbadala??