Kuna jamaa alikuwa very handsome, ana tender care ya hali ya juu, mvumilivu, mtu wa dini, si mlevi, anamsaidia mama kila aina ya kazi na aliweza kufanya kila jambo ambalo kila mwanamke anatamani mwanamume wake amfanyie.
Basi jamaa alikuwa amewekeana kiapo na msichana wake kuwa hawatakutanisha viungo vyao vya harusi hadi hapo watakapofunga ndoa.
Siku ya siku ikafika, jamaa mbele ya kasisi, vigeregere, shangwe na nderemo tele, watu wako busy na kujiremba na kujipodoa, wengine mbiombio wakiandaa mpunga, alimradi kila mtu yuko busy kuipendezesha harusi.
Harusi ikafungwa salama salimini... Usiku wa majamboz ukawadia.....
Bibi arusi alikuwa anaisubiri siku hiyo kwa hamu kubwa, kuingia ulingoni janaa anakidude kama kizibo cha peni.
Bibi harusi akazimia.