ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Wakuu salama…
Enzi za uhai wake, Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli alikuwa ni mpenda drama sana.
Angeweza kusafiri kwa gari kutoka Dodoma pengine kuelekea Chato.
Angeweza kufika Singida na kusimama barabarani bila kujali anasababisha foleni kwa walipa kodi wanaotumia barabara husika.
Angeanza kujigeuza hakimu kusikiliza mara mtu kadhulumiwa shamba lake, mara madarasa hayajajengwa, mara mke na mume wamegombana na kuachana.
Magufuli akawa anajigeuza hakimu na wakati mwingine jaji. Angeweza kutoa maamuzi na akapiga na mkwara mzito kwa wateule wake.
Kazi ya mahakama ikawa imeingiliwa na kuzibwa mdomo na Rais.
Mahakama kwanini ilikubali kuingiliwa uhuru wake wa utendaji kazi?
Enzi za uhai wake, Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli alikuwa ni mpenda drama sana.
Angeweza kusafiri kwa gari kutoka Dodoma pengine kuelekea Chato.
Angeweza kufika Singida na kusimama barabarani bila kujali anasababisha foleni kwa walipa kodi wanaotumia barabara husika.
Angeanza kujigeuza hakimu kusikiliza mara mtu kadhulumiwa shamba lake, mara madarasa hayajajengwa, mara mke na mume wamegombana na kuachana.
Magufuli akawa anajigeuza hakimu na wakati mwingine jaji. Angeweza kutoa maamuzi na akapiga na mkwara mzito kwa wateule wake.
Kazi ya mahakama ikawa imeingiliwa na kuzibwa mdomo na Rais.
Mahakama kwanini ilikubali kuingiliwa uhuru wake wa utendaji kazi?