Kwanini hayati Magufuli alipenda kuendesha kesi akiwa njiani kwenye misafara yake?

Kwanini hayati Magufuli alipenda kuendesha kesi akiwa njiani kwenye misafara yake?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Wakuu salama…

Enzi za uhai wake, Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli alikuwa ni mpenda drama sana.

Angeweza kusafiri kwa gari kutoka Dodoma pengine kuelekea Chato.

Angeweza kufika Singida na kusimama barabarani bila kujali anasababisha foleni kwa walipa kodi wanaotumia barabara husika.

Angeanza kujigeuza hakimu kusikiliza mara mtu kadhulumiwa shamba lake, mara madarasa hayajajengwa, mara mke na mume wamegombana na kuachana.

Magufuli akawa anajigeuza hakimu na wakati mwingine jaji. Angeweza kutoa maamuzi na akapiga na mkwara mzito kwa wateule wake.

Kazi ya mahakama ikawa imeingiliwa na kuzibwa mdomo na Rais.

Mahakama kwanini ilikubali kuingiliwa uhuru wake wa utendaji kazi?
 
Kwa namna moja alikuwa anazingua, na ametuachia ugonjwa mkubwa sana wa UCHAWA.

lakini kuna sehemu kasaidia, nchi hii mifumo ipo corrupted, ngumu sana kupata haki, ambacho alipaswa kufanya ni kuhakikisha anaondoa huu mfumo mbovu, UWAJIBIKAJI upatikane, angekuwa kafanya la maana sana
 
Wakuu salama…

Enzi za uhai wake, Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli alikuwa ni mpenda drama sana.

Angeweza kusafiri kwa gari kutoka Dodoma pengine kuelekea Chato.

Angeweza kufika Singida na kusimama barabarani bila kujali anasababisha foleni kwa walipa kodi wanaotumia barabara husika.

Angeanza kujigeuza hakimu kusikiliza mara mtu kadhulumiwa shamba lake, mara madarasa hayajajengwa, mara mke na mume wamegombana na kuachana.

Magufuli akawa anajigeuza hakimu na wakati mwingine jaji. Angeweza kutoa maamuzi na akapiga na mkwara mzito kwa wateule wake.

Kazi ya mahakama ikawa imeingiliwa na kuzibwa mdomo na Rais.

Mahakama kwanini ilikubali kuingiliwa uhuru wake wa utendaji kazi?
Guys ni miaka minne sasa still tunamuongelea huyu bwana?
 
Wakuu salama…

Enzi za uhai wake, Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli alikuwa ni mpenda drama sana.

Angeweza kusafiri kwa gari kutoka Dodoma pengine kuelekea Chato.

Angeweza kufika Singida na kusimama barabarani bila kujali anasababisha foleni kwa walipa kodi wanaotumia barabara husika.

Angeanza kujigeuza hakimu kusikiliza mara mtu kadhulumiwa shamba lake, mara madarasa hayajajengwa, mara mke na mume wamegombana na kuachana.

Magufuli akawa anajigeuza hakimu na wakati mwingine jaji. Angeweza kutoa maamuzi na akapiga na mkwara mzito kwa wateule wake.

Kazi ya mahakama ikawa imeingiliwa na kuzibwa mdomo na Rais.

Mahakama kwanini ilikubali kuingiliwa uhuru wake wa utendaji kazi?
alikuwa na matatizo makubwa ambayo hayafai kuyasema!
 
Wakuu salama…

Enzi za uhai wake, Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli alikuwa ni mpenda drama sana.

Angeweza kusafiri kwa gari kutoka Dodoma pengine kuelekea Chato.

Angeweza kufika Singida na kusimama barabarani bila kujali anasababisha foleni kwa walipa kodi wanaotumia barabara husika.

Angeanza kujigeuza hakimu kusikiliza mara mtu kadhulumiwa shamba lake, mara madarasa hayajajengwa, mara mke na mume wamegombana na kuachana.

Magufuli akawa anajigeuza hakimu na wakati mwingine jaji. Angeweza kutoa maamuzi na akapiga na mkwara mzito kwa wateule wake.

Kazi ya mahakama ikawa imeingiliwa na kuzibwa mdomo na Rais.

Mahakama kwanini ilikubali kuingiliwa uhuru wake wa utendaji kazi?
Hizi ni mbinu zinazotumiwa na viongozi wa CCM. Wanaacha mifumo yote iliyowekwa kutatua matatizo iwe dhaifu na halafu wenyewe wanajipa majukumu ya kutatua matatizo kitu ambacho ni impossible. Tanzania ni kubwa na ina watu zaidi ya mil 60, huwezi kutatua matatizo ya kila mtu kwa kuwasikiliza jukwaani. Hizi mbinu zinatumiwa sana na Makonda, Jerry Slaa na Lukuvi.
 
hapo umechapia na uwongo. ila ukweli utabakia pale. Cc CHADEMA mbali ya kutufirigisa, tunatambua michango yake haswa katika masuala ya kuondoa rushwa, uwajibikaji, na kuchochea maendeleo ya kiuchumi.

Hata kiongozi wetu Mh. Tundu Lissu alitaka kwenda kumsemea Rais Samia S.H kwa kudodora kwa maadili pamoja na rushwa Serikalini. Haya uliyoyaandika chini hayana hata chembe moja ya Ukweli
mifumo ipo corrupted, ngumu sana kupata haki, ambacho alipaswa kufanya ni kuhakikisha anaondoa huu mfumo mbovu, UWAJIBIKAJI upatikane, angekuwa kafanya la maana sana
 
Wakuu salama…

Enzi za uhai wake, Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli alikuwa ni mpenda drama sana.

Angeweza kusafiri kwa gari kutoka Dodoma pengine kuelekea Chato.

Angeweza kufika Singida na kusimama barabarani bila kujali anasababisha foleni kwa walipa kodi wanaotumia barabara husika.

Angeanza kujigeuza hakimu kusikiliza mara mtu kadhulumiwa shamba lake, mara madarasa hayajajengwa, mara mke na mume wamegombana na kuachana.

Magufuli akawa anajigeuza hakimu na wakati mwingine jaji. Angeweza kutoa maamuzi na akapiga na mkwara mzito kwa wateule wake.

Kazi ya mahakama ikawa imeingiliwa na kuzibwa mdomo na Rais.

Mahakama kwanini ilikubali kuingiliwa uhuru wake wa utendaji kazi?
Mwamba J. P. M.
Ni marehemu tangu March 17, 2021.
Hawezi kujitetea tena, ila bado mnamsimanga.
 
hapo umechapia na uwongo. ila ukweli utabakia pale. Cc CHADEMA mbali ya kutufirigisa, tunatambua michango yake haswa katika masuala ya kuondoa rushwa, uwajibikaji, na kuchochea maendeleo ya kiuchumi.

Hata kiongozi wetu Mh. Tundu Lissu alitaka kwenda kumsemea Rais Samia S.H kwa kudodora kwa maadili pamoja na rushwa Serikalini. Haya uliyoyaandika chini hayana hata chembe moja ya Ukweli
Soma tena, kisha uje ujibu kwa mara ya pili... Anko magu alisimama yeye kama yeye, mahakama, yeye, sijui nini yeye, sasa angesimamia mfumo, UWAJIBIKAJI ukainhia damuni mwetu kama ambavyk uchawa umewaingia watu.

Bongo shida ni mfumo na ndio kuna watu walimkubali na kumfurahia aliyofanya sababu wameteseka na mfumo, unadhulumiwa haki ni yako na hupati kitu
 
Soma tena, kisha uje ujibu kwa mara ya pili... Anko magu alisimama yeye kama yeye, mahakama, yeye, sijui nini yeye, sasa angesimamia mfumo, UWAJIBIKAJI ukainhia damuni mwetu kama ambavyk uchawa umewaingia watu.
Hapo juu nakukatalia katukatu, respectfully, unalazimisha kuwa ndivyo ilivyokuwa wakati sio. Itoshe hilo la uchawa ni lugha tu inayotumiwa kisiasa na halina maana yeyote ile zaidi ya kudogosha. Hv unaona uchawa unaofanyika nchi za magharibi? Kabla hujajibu, niambie uchawa ni nini, maan yake na asili yake, majibu mepesi mepesi kuwa Magufuli ndie alieanzisha haina mashiko. Keep that in mind.
Bongo shida ni mfumo na ndio kuna watu walimkubali na kumfurahia aliyofanya sababu wameteseka na mfumo, unadhulumiwa haki ni yako na hupati kitu
kwa msingi huo juu unakubali alikuwa akiwatetea Wananchi.🤔
 
Back
Top Bottom