Mimi nilisha tapeli mtu mil.50
nikaenda nunua kiwanja pale pale
nikajenga pale pale ka rum kangu kakuzugia
ki hela kilichobaki nikatumbua Bata na mimi
Ninavyoandika hapa ile nyumba ipo,kile kiwanja kipo tena
watu wanataka niwauzie kwa bei za hatari hatari,nimechomoaaa
NATAKA KUSEMA NINI
Matapeli wengi akili zao zpo kama madalali wa nyumba yani lenyewe linaona hela hzi zipo kila siku
nimetapeli leo so kesho ntatapeli nyingine au ntaiba tena acha nileeee acha totoz watanueeee
Aseee tapeli mwenye akili akikutapeli aseee Hafilisiki ng'o tusidanganyane eti laaana,laaan my Foot
nije nkutapeli hapo sasa hivi tuone kama hiyo laaana itanipata (usiniloge tuuuu) mi nataka ulalamike na usononeke
uone kama yatanikuta,hayanipati NG'O shida matapeli/wezi/chuma ulete mi akili yao ni ZERO imelala.
NOTE: hiyo story ya kutapeli mil.50 sio mimi mwaya,nimejipachika tu hapo sema huo ndio ukweli.