Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wadau.
Kama tunavyojua sote tunapata pesa kwa magumashi kwa namna moja au nyingine...
Kutapeli, kuiba, kudanganya, kufoji nyaraka, kutoa rushwa, mazindiko kwa waganga nk...Pesa isiyo na jasho.
Pesa yake haikai aisee, yaani ikifanya kitu cha maendeleo baadae kinacollapse! Totally lazima irudi tu kwa mwenyewe.
Wajuvi naombeni sababu.
Kama tunavyojua sote tunapata pesa kwa magumashi kwa namna moja au nyingine...
Kutapeli, kuiba, kudanganya, kufoji nyaraka, kutoa rushwa, mazindiko kwa waganga nk...Pesa isiyo na jasho.
Pesa yake haikai aisee, yaani ikifanya kitu cha maendeleo baadae kinacollapse! Totally lazima irudi tu kwa mwenyewe.
Wajuvi naombeni sababu.