Kwanini herufi "U" linapokuja suala kuiandika kwa mkono kwa herufi kubwa nashindwa?

Kwanini herufi "U" linapokuja suala kuiandika kwa mkono kwa herufi kubwa nashindwa?

Kwa mtaji huu, itatuchukua karne nyingi sana hadi tuendelee kama taifa.
 
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17, Serengeti Girls, imeshindwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia Wanawake chini ya miaka 17 baada ya kufungwa 3-0 dhidi ya Colombia.
Hii inatokana na uzembe wa Mtanzania mmoja kushindwa kuandika herufi U kubwa 🙂
 
Back
Top Bottom