Kwanini hili jambo ni la kisirisiri!???

Kwanini hili jambo ni la kisirisiri!???

Laurence, vjana waliopo chuo nw n haki yao kudharau baadh ya v2,kwakuwa wanaish kw "expectation" n vema ila "street university" haina course outline wala final...akil kumkchwa.
Nikirud kwenye "uzi" n kwel km mdau alvosema n "lazma walimu 2shkamane"
na kuepusha maneno bila vtendo, wale walimu wapya waliopangwa wilaya ya kinondoni, tutafutane, tuanze na kuupata "waraka mpya"
my e-mail: madenge86@yahoo.com

Mkuu hawa vijana ngoja wanashangaza sana lakn ukweli utajulikana pindi wakimaliza vyuo,twendeni tukapige kazi hii CWT sasa inabidi tuibadili as time being ili hawa viongozi waachane na mambo ya kuibeba serikali,kwa sasa nipo Dar ila najiandaa kwenda Kigoma mkuu,vp kuhusu waraka?
 
Waraka unaoelezea stahiki zako km mwajiriwa, hela za kujikimu, nauli na pesa za mizgo..lakn uktaka ujue kuwa kuna walakn, jaribu kwenda halmashauri na kuuomba huo waraka, HUPEWI, they say ts "confidetial"
 
Back
Top Bottom