Kwanini huandiki mambo unayofanya?

Binafsi nahitaji kujua ni kwa nini watu hawaandiki ili hizo sababu ndo tuzitafutie ufumbuzi.

Faida kubwa ni kueleza kwa nini wewe huandiki.Kama unaandika tueleze faida unazopata ili wavivu wa kuandika tubadilike.Tukitafuta makosa ya wengine haitatusaidia.Ni rahisi Zaidi kujirekebisha ukijua udhaifu wako na vigumu mno kurekebisha udhaifu wa wengine kwa udhaifu ulio nao.
 
kila siku napostpone kua na ki journal changu,hata nikiwa nacho SIANDIKI..hata nikishika kalamu ili niandike siandiki kama navotaka niandike
Umeishachukua hatua katika hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…