becknature
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 665
- 825
Hakuna biashara ya vitu vya kipuuzi broSasa mbona machoni mwa watu wanawadanganya vingine..? Unakuta mtu uza vitu vya kipuuzi tu ila anamiliki vitu vizito
nadhani mambo yanayofanya utoboz unakua mgumu ni pamoja na,Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi?
Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu
Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi
Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka
Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia kuchezesha hapo __kwamuda mfupi tu mtu kafungua kiduka kidogo dogo mara gafla tu limekua duka la jumla mara kashanza kujenga mara kashanunua gari mara mara tayari duka nikubwa kabisa anashusha mzigo kwa mafuso
Nawasilisha
Haha vijana wengi mnateseka sanaHuu ndio ule ustarabu wako. Sawa Tajiri nipe ajira
Hahaha.....social media ndio mahali pekee unapoweza kumwonea mtu wivu ambaye alistahiri Kuonewa Huruma.Haha vijana wengi mnateseka sana
Aisee pole endelea kuitukana CCM huku umelala kwenye pagara
Sisi tunaendelea na mema ya nchi
Acha utoto mwendawazimu.SIJAPATA KITOBOLEO NA TUNDU LA KUTOBOA...
Usichekeshe walionuna mzee. [emoji23] Hata mtoto wa vidudu ukimuambia haya atakuangalia kwa jicho la tofauti.kuna namna haya mambo huwa yanaenda ni akili tu na malengo #dreambig
Wamejipata kwa level ipi?! Walivyokua makapuku walikua na nini, na sasahivi unavyosema wamejipata wana nini?sawa lakini hunaweza kuthibitisha hili?
nishashudia bro zangu wanaanza hustle chini kabisa mbaka wanajipata unatak ni amini ni majambazi au wachawi ka unavyosema
pesa halali zipo ni kupambana tu
Maneno ya waliokata tamaa. Umaskini una njia ya kuharibu watu akili. Kwamba hio shilingi 500 uliyonayo unayosema umeridhika nayo, inaweza kumtibu mtoto wako akiumwaRidhika na ulichonacho mkuu.
Utajiri wote huu wa dunia unaona ni ubatili mtupu.
Inabidi umtafute LISSUSIJAPATA KITOBOLEO NA TUNDU LA KUTOBOA...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akibahatika kufika miaka 50 ndio wale wanakaa vibarazani wanasubiri waondoke duniani.Akili ya masikini Pumbavu
subiria mshahara wako wa afisa daraja la II mpaka siku ya kustaafu halafu ukafie mbele huko
Huna mchang wowote kwenye jamii zaidi ya kuomba rushwa
Umaskini umeharibu sana sana akili za walio wengi tanzania. Wako kama mazombie. Wewe si unawaona wamejazana kule kwa bulldoza na zumaridi wanaangalia live show michael jackson anavyofufuliwaMkuu, ni bora kutokuchangia kuliko kuja na porojo za kukatisha watu tamaa bila ushahidi
Nimemzimisha ili watu wenye mchanga chanya walete miongozo, maana hizo porojo zake zinaweza kuuteka uzi wote ukapoteza maana
HahaaUmaskini umeharibu sana sana akili za walio wengi tanzania. Wako kama mazombie. Wewe si unawaona wamejazana kule kwa bulldoza na zumaridi wanaangalia live show michael jackson anavyofufuliwa
Wanatafut utajiri mkuu sasa mbona unawaponda?Maneno ya waliokata tamaa. Umaskini una njia ya kuharibu watu akili. Kwamba hio shilingi 500 uliyonayo unayosema umeridhika nayo, inaweza kumtibu mtoto wako akiumwa
Wameridhika na mia mbili mbili. Hawana shida na utajiri.Wanatafut utajiri mkuu sasa mbona unawaponda?
daaahInabidi umtafute LISSU
sawa, HEBU NIPUMZISHE KIDOGOAcha utoto mwendawazimu.