Kwanini hukunambia mapema M?

Nina swali kwa wakaka, l hope Asprin, Dark City, Mr Rocky na wengine watanisaidia.
Hivi mdada aliyenyonyesha ukiwa naye huwezi gundua?

Najua kuna wadada wachache ambao unaweza usione tofauti, lkn majority it shows.
Bibie Kaunga hebu fafanua kidogo hapo........ Unamaanisha aliyetoka kunyonyesha au aliyeshawahi kunyonyesha? Ila iwavyo vyovyote vile kama ulivyosema ni wachache sana ambao watanishinda kuwajua.
 
Last edited by a moderator:

Darling Mr Rocky naona utakua umesahau kuna swala la "long distance" hapo kwahiyo labda hizo outing hazikuwepo. Ila cha kujiuliza, ndani ya hiyo miaka mitano huyo mtoto hakuwahi kuugua hata siku moja ambapo huyo dada angetakiwa kushare na mpenzi wake kinachoendelea kwa mwanae......mmmhhhhh ama kweli binadamu tumeumbwa tofauti sanaaaaa cha!!
 
Last edited by a moderator:

Objection accepted, I failed to see the 5years duration earlier
 

Mwambie hiviii:

Asihangaike kumpigia magoti. Kama jamaa linampenda litarudi lenyewe kumwambia "Usijali, kwani mtoto kitu gani bana"

Asilazimishe kwakuwa mapenzi hayalazimishwi na hata akilazimisha jamaa likakubali, hatoishi maisha ya raha manake atabatizwa jina jipa "Malaya wangu"
 
Bibie Kaunga hebu fafanua kidogo hapo........ Unamaanisha aliyetoka kunyonyesha au aliyeshawahi kunyonyesha? Ila iwavyo vyovyote vile kama ulivyosema ni wachache sana ambao watanishinda kuwajua.

Aliye wahi nyonyesha; mdada mtoto wake ana miaka 9 and wamekuwa na uhusiano na mkaka for 5 yrs; asihisi tu?
 
Aliye wahi nyonyesha; mdada mtoto wake ana miaka 9 and wamekuwa na uhusiano na mkaka for 5 yrs; asihisi tu?
Labda yawezekana jamaa alikuwa mseminaristi na huyo ndo alikuwa mwanamke wake wa kwanza tangu azaliwe kuziona chuchu zake na kuzishika.....
 

Ila jamani, suala la kuficha mtoto kwa wanawake ni la kawaida kabisa. Shida yangu ni hapo pekundu yaani how long this has taken. Binti alifanya makosa kukaa muda wote huo bila kumwambia. Ila ni bora ameamua kumwambia sasa and ame-react hivyo. Kiukweli ni wanaume wengi tu wangeweza kufanya hivyo kama first reaction. Na shida kubwa si kwamba hakuwa na mapenzi ya kweli kama ambavyo baadhi wamesema eti ukipenda boga ....., tatizo ni kwamba mtoto ni another burden to your relationship that you need to think before accepting or declining. Kwahiyo si kitu cha kuchukulia rahisi rahisi tu on the sport, especially kama umekuwa na mchumba wako ukiamini kuwa hana mtoto, given that length of time. Mbaya zaidi ni je ndg, jamaa na marafiki zako watakuonaje?

Kama walivyosema wadau, binti kwanza akubali kama yeye ni chanzo kikubwa sana cha hiyo reaction, na ajue tu mwanaume ye yote angeweza ku-react hivyo. Pili. amuombe jamaa msamaha na amweleze wazi tu kwamba amekaa kimya muda wote huo kwa sababu alikuwa na hofu na jinsi atakavyo-react. She can even lie to him that she got the courage baada ya kushauriwa na ndug, jamaa na marafiki (it makes more sense, I think). Then atulie, amwache jamaa awaze na kuwazua, ila kama wadau walivyoshauri awe anamjulia hali (sms, email ila asimpigie) hata kama jamaa hajibu.
 
ama kweli wanawake tunashida sana duniani hapa ee mungu tusaidie ,NAMSHAURI AMWOMBE MUNGU SANA ASIJIONE FUNGU LAKUKOSA,ALWAZ TRUTH WILL SET YOU FREE,UMESHAMALIZA MAJUKUMU YAKO MWOMBE MUNGU AMALIZIE YALIOBAKI ,MWAMBIE MUNGU ANAZIJUA NJIA ZETU ,PIA HAJUI MUNGU AMEMUEPUSHA NANINI.
 
Nina swali kwa wakaka, l hope Asprin, Dark City, Mr Rocky na wengine watanisaidia.
Hivi mdada aliyenyonyesha ukiwa naye huwezi gundua?

Najua kuna wadada wachache ambao unaweza usione tofauti, lkn majority it shows.

Kaunga sorry nimeingilia swali ni kweli si wote unaweza wagundua kuna wadada wengi tu hata wakikwambia wamenyonyesha watoto watatu huwezi kukubali kabisaaaa..........kwanza hata akisema ana mtoto mmoja tu unabisha sembuse kunyonyesha! Kuna watu wana maumbile mazuri sana,Mungu amewabariki. Asprin hata wewe hutaweza mgundua huyo kwa taarifa yako:A S tongue:......LOL
 
True, umri unahusu pia
Baada ya miaka 5 nitakuwa nalitolea chini ya sketi huku chini.

 
Hapa mnanichanganya tu,
dada chukua akili yako + ya huyo mchumba = ?????
 
We Yummy kwanza hujaniamkia. Kama nimemwelewa Kaunga hakumaanisha umwonapo kwa mara moja. Hapa amemnukuu mtoa mada kuwa huyu mseminaristi ameyakamata hayo maziwa for five good years!! Shika adabu yako Yummy.
 
Last edited by a moderator:
Hapo blue unamaanisha nini?
Kawaida unamaanisha nini?

Huwezi sema wanawake kuwa na kichaa ni kawaida ni ugonjwa
Na wanahitaji medical attention kama wagonjwa wengine 'low self esteem'

 
Nina swali kwa wakaka, l hope Asprin, Dark City, Mr Rocky na wengine watanisaidia.
Hivi mdada aliyenyonyesha ukiwa naye huwezi gundua?

Najua kuna wadada wachache ambao unaweza usione tofauti, lkn majority it shows.

Kaunga, inategemea na mkaka mwenyewe, how knowlegeable is he with female bodies - pengine kwa kusikia, kuona, kusoma, ku-experience diversity n.k. Ila kama upo upo tu, unaishi kwenye 'box' uwezijua!
 

Babu Asprin nimependa ushauri wako

Mie nimeshindwa kumlaumu Bidada kwa janga tayari limeshatokea ..ni namna tu ya kumsaidia kuendelea na maisha..
 
Ashukuru Mungu amemwambia mapema jamaa hataki kupenda boga na ua lake
 
Hapo blue unamaanisha nini?
Kawaida unamaanisha nini?

Huwezi sema wanawake kuwa na kichaa ni kawaida ni ugonjwa
Na wanahitaji medical attention kama wagonjwa wengine 'low self esteem'

Aahaa mkuu Kongosho mbona pako poa tu, wewe ndo twambie kwanini unaona si kawaida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…