Kwanini huwa tunaiombea Serikali ifeli wakati huo huo tunataka kuona maendeleo makubwa ya kiuchumi?

Kwanini huwa tunaiombea Serikali ifeli wakati huo huo tunataka kuona maendeleo makubwa ya kiuchumi?

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Vitabu vya Dini karibu vyote husema, yabidi mtu ujinenee mazuri na kujitabiria mema kwa maana ulimi huumba

Jinsi unavyojinenea, ndivyo unavyopokea

Wataanzania wengi hupenda kuona mambo mazuri yakitokea

Cha kushangaza, walio wengi huinenea nchi na serikali inayoongoza ishindwe na wakati huo huo, tunataka tuone maendeleo makubwa yakitokea na kwa mfano chumi za kama USA, China, Singapore na au Israel n.k

Tubapataje maendeleo aina hiyo iwapo kila leo hatuinenei mema nchi yetu na serikali inayoongoza?

Najaribu kuuliza ili pia kama kuna ukweli kati ya kujinenea mazuri na kutokujineneamazuri

Je, vitu hivi vikifanywa kwa uaminifu, huwa dhahiri?
 
a lot of people hawafaidiki na kile government inafanya moja kwa moja.

Ni sawa Mimi nikutambie kuwa ninamiliki nyumba hamsini na magari ishirini

Aliyakuwa wewe ninae kuambia hauna kitu mfukoni na haujui hata utapata wapi hela ya chakula cha mjana.

Nadhani siku mkate ukimfikia kila MTU serikali itasapotiwa na everybody.
 
a lot of people hawafaidiki na kile government inafanya moja kwa moja.

Ni sawa Mimi nikutambie kuwa ninamiliki nyumba hamsini na magari ishirini

Aliyakuwa wewe ninae kuambia hauna kitu mfukoni na haujui hata utapata wapi hela ya chakula cha mjana.

Nadhani siku mkate ukimfikia kila MTU serikali itasapotiwa na everybody.
 
 
 
Back
Top Bottom