Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
UTOPOLO siku hizi wamekuwa vichaa.
Wachezaji wa UTOPOLO wanapuliza bangi kwanza ndio wanaingia kucheza bolu.
Wachezaji wa UTOPOLO wanapuliza bangi kwanza ndio wanaingia kucheza bolu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni Shabiki wa Simba SC ila ninachojua Mchezaji pekee ambaye ana Kipengele cha kutokuja kucheza Yanga SC ni Jose Luis Miquissone tu na siyo kwa Clatous Chota Chama.
Kwa Upumbavu ( Uzuzu ) wako ulionao wa Kurithishwa isingefahamika na wala usingenielewa pia.Unahisi usingeanza na "Mimi ni shabiki wa Simba SC" hii post yako isingefahamika?
Kwa Upumbavu ( Uzuzu ) wako ulionao wa Kurithishwa isingefahamika na wala usingenielewa pia.
Foolish.Watu wote wanaoanza post zao kwa kusema "mimi ni Simba damu" "Mimi ni Yanga Damu" "Mimi ni Mshabiki wa SC" n.k.
Basi hawa wanajulikana ni kina nani!! Hivyo Dada umeshajuilikana.
😂😂😂😂😂Genta ni mdada kumbeWatu wote wanaoanza post zao kwa kusema "mimi ni Simba damu" "Mimi ni Yanga Damu" "Mimi ni Mshabiki wa SC" n.k.
Basi hawa wanajulikana ni kina nani!! Hivyo Dada umeshajuilikana.
We jamaa ni mchonganishi[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Genta ni mdada kumbe
Kwanini mkuu?We jamaa ni mchonganishi[emoji16]
Genta ma ID buku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Genta ni mdada kumbe