Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hivi ni mhehe Kumbe?Wahehe sijui tunakwama wapi .
Ngoja aendelee kukaaa huko dasilamu atashaini tuu
kivpi mkuu?yeye mwenyewe kaji underrate.
Hivi ni mhehe Kumbe?
Nimeweka nyimbo juu hapo mkuu iskie Kama bado
Huwa sifagilii sana mambo ya asili yetu wapi sijui..!No research no right to speak.
Mkuu unamuongelea mtu ata hujui asili yake ni wapi..fresh lakini
Hongera kwa kumpa saport kijana wetu
domo anasemaje sasa mziki ni zaidi ya nnDomo anasemaga mziki sio kujua kuimba tu.
Kumbe nawe tupo bus moja..
mtazame vizuri mkuu ni moja ya wasanii wanaojua ku perform live .Sijawahi kumuelewa kiukweli na nikikuta watu wanamuongelea kuwa ana uwezo mkubwa ndo huwa sielewi kabsaa..
je, yupo vizuri vocally kuliko beka ibrozama au ana uandishi mkali kuliko marioo au hata ana aura ya kuuzika kuliko wasanii waliopo
Labda unisaidie kuuona huo uspesho wake mkuu
Leo kijana umeongea point ibranation ni msanii mzuri Sana na ana kipaji kikubwa kuliko wasanii wengi wa bongo kwa wale wanafuatilia series ya kapuni ya maisha bongo ndani ya zikizDStv yeye ndo amefanya ile soundtrack ya hiyo series na ni bonge moja ya soundtrack ila soko la bongo linataka msanii awe very active kwenye kutoa kazi almost si chini ya ngoma 5 kwa mwaka mmoja.Tatizo kijana anatoa ngoma moja sometime 2 kwa mwaka mmoja kwa style hii lazima wabongo wakupotezee.Tatizo lingine ana jificha Sana ni adimu Sana kumuona kwenye media na niliwahi kumshauri kwenye Instagram yake mshauri wangu mpaka leo hajaufanyia kazi.Wakuu niwe mkweli tu huyu kijana mziki anaweza sijawahi pata ona..
Ule uwezo wake wa kunata na beat yoyote kwa melody ile ile bila kushuka.. Ni kipaji tosha..
Sasa kwanini basi anakuwa underrated kiasi hiki.?
Yaani hata management Hana mpka leo..!
Mbona ana nyimbo nzuri sana
Ila hii solo aliyoshirikishwa na dj seven ndo balaa jingine aseeh
Nyimbo Kama.
Kubali.
Tabibu.
Nieleze.
Na hii iliofanya vizuri zaidi. Nilipize..
Kwanini basi hata management akose msanii mzuri Kama huyu??
Is not underrated but he is low keyWakuu niwe mkweli tu huyu kijana mziki anaweza sijawahi pata ona..
Ule uwezo wake wa kunata na beat yoyote kwa melody ile ile bila kushuka.. Ni kipaji tosha..
Sasa kwanini basi anakuwa underrated kiasi hiki.?
Yaani hata management Hana mpka leo..!
Mbona ana nyimbo nzuri sana
Ila hii solo aliyoshirikishwa na dj seven ndo balaa jingine aseeh
Nyimbo Kama.
Kubali.
Tabibu.
Nieleze.
Na hii iliofanya vizuri zaidi. Nilipize..
Kwanini basi hata management akose msanii mzuri Kama huyu??
mda mwingine kijana unakuwaga una akiliLeo kijana umeongea point ibranation ni msanii mzuri Sana na ana kipaji kikubwa kuliko wasanii wengi wa bongo kwa wale wanafuatilia series ya kapuni ya maisha bongo ndani ya zikizDStv yeye ndo amefanya ile soundtrack ya hiyo series na ni bonge moja ya soundtrack ila soko la bongo linataka msanii awe very active kwenye kutoa kazi almost si chini ya ngoma 5 kwa mwaka mmoja.Tatizo kijana anatoa ngoma moja sometime 2 kwa mwaka mmoja kwa style hii lazima wabongo wakupotezee.Tatizo lingine ana jificha Sana ni adimu Sana kumuona kwenye media na niliwahi kumshauri kwenye Instagram yake mshauri wangu mpaka leo hajaufanyia kazi.
Jambo lingine Hana management active, management itakayo push mziki wake uende.jambo la mwisho kabisa jamaa sio hard worker kabisa ili nalo linachangia asifike mbali kimziki.Mziki wa bongo utakiwi kujua kuimba pekee unatakiwa ujiongeze zaidi.
Sure?Is not underrated but he is low key
Wakuu niwe mkweli tu huyu kijana mziki anaweza sijawahi pata ona..
Ule uwezo wake wa kunata na beat yoyote kwa melody ile ile bila kushuka.. Ni kipaji tosha..
Sasa kwanini basi anakuwa underrated kiasi hiki.?
Yaani hata management Hana mpka leo..!
Mbona ana nyimbo nzuri sana
Ila hii solo aliyoshirikishwa na dj seven ndo balaa jingine aseeh
Nyimbo Kama.
Kubali.
Tabibu.
Nieleze.
Na hii iliofanya vizuri zaidi. Nilipize..
Kwanini basi hata management akose msanii mzuri Kama huyu??
hawana tofauti