Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu niwe mkweli tu huyu kijana mziki anaweza sijawahi pata ona..
Ule uwezo wake wa kunata na beat yoyote kwa melody ile ile bila kushuka.. Ni kipaji tosha..
Sasa kwanini basi anakuwa underrated kiasi hiki.?
Yaani hata management Hana mpka leo..!
Mbona ana nyimbo nzuri sana
Ila hii solo aliyoshirikishwa na dj seven ndo balaa jingine aseeh
Nyimbo Kama.
Kubali.
Tabibu.
Nieleze.
Na hii iliofanya vizuri zaidi. Nilipize..
Kwanini basi hata management akose msanii mzuri Kama huyu??
Ule uwezo wake wa kunata na beat yoyote kwa melody ile ile bila kushuka.. Ni kipaji tosha..
Sasa kwanini basi anakuwa underrated kiasi hiki.?
Yaani hata management Hana mpka leo..!
Mbona ana nyimbo nzuri sana
Ila hii solo aliyoshirikishwa na dj seven ndo balaa jingine aseeh
Nyimbo Kama.
Kubali.
Tabibu.
Nieleze.
Na hii iliofanya vizuri zaidi. Nilipize..
Kwanini basi hata management akose msanii mzuri Kama huyu??