Kwanini Ibrahnation anakuwa underrated?

Umeshaandika yote, naomba nipigie tu mstari
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huy jamaa angeshakuwa ametoka mda sana walianza kipind cha kina malow Kwanza tatzo linaanzia kwa wazazi wake huku iringa ni kama walokole hivi waliamini zaidi katika elimu kwahiyo ni kama huwa hawapendi anachokifanya pengine hata yeye hilo limemuathiri ndo mana anakuwa yupo yupo tu asogei
 
Kuna huyo na Jolie pamoja na Beka ibrozama, kama Kupigwa wimbo wako clouds unakua superstar basi hao wangekua mabilioneà star maana eer day wanachezwa ngoma zao ila ajabu wako pale pale dah!
 
Wazazi wake ni walokole duh lakini jamaa sauti yake ipo kipekee sana
 
Kuna huyo na Jolie pamoja na Beka ibrozama, kama Kupigwa wimbo wako clouds unakua superstar basi hao wangekua mabilioneà star maana eer day wanachezwa ngoma zao ila ajabu wako pale pale dah!
Clouds nao wamejitahidi kumsogeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…