Kwanini Ibrahnation anakuwa underrated?

Kwanini Ibrahnation anakuwa underrated?

Sijawahi kumuelewa kiukweli na nikikuta watu wanamuongelea kuwa ana uwezo mkubwa ndo huwa sielewi kabsaa..

je, yupo vizuri vocally kuliko beka ibrozama au ana uandishi mkali kuliko marioo au hata ana aura ya kuuzika kuliko wasanii waliopo

Labda unisaidie kuuona huo uspesho wake mkuu
usifananishe ibra na ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo kijana umeongea point ibranation ni msanii mzuri Sana na ana kipaji kikubwa kuliko wasanii wengi wa bongo kwa wale wanafuatilia series ya kapuni ya maisha bongo ndani ya zikizDStv yeye ndo amefanya ile soundtrack ya hiyo series na ni bonge moja ya soundtrack ila soko la bongo linataka msanii awe very active kwenye kutoa kazi almost si chini ya ngoma 5 kwa mwaka mmoja.Tatizo kijana anatoa ngoma moja sometime 2 kwa mwaka mmoja kwa style hii lazima wabongo wakupotezee.Tatizo lingine ana jificha Sana ni adimu Sana kumuona kwenye media na niliwahi kumshauri kwenye Instagram yake mshauri wangu mpaka leo hajaufanyia kazi.

Jambo lingine Hana management active, management itakayo push mziki wake uende.jambo la mwisho kabisa jamaa sio hard worker kabisa ili nalo linachangia asifike mbali kimziki.Mziki wa bongo utakiwi kujua kuimba pekee unatakiwa ujiongeze zaidi.
Na asisahau kua active daily kwny mambo ya ngono na mastaa wenzake then hapo Nyota itang'aa kama ya wenzake.

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Back
Top Bottom