Wakuu kwa Sasa masikio yote yapo Dodoma kwenye mkutano wa mawakili na katika mkutano huo umefanyika uchaguzi ambao matokeo yake yanasubiriwa kwa hamu sana.
Maswali yangu kwa wajuzi:
1.Kwanini hii inaitwa Tanganyika law society na sio Tanzania law society??
2. Je Zanzibar napo huwa kuna Zanzibar law society??
3. Kuna wakati ndugu Fatma Karume kutoka Tanzania visiwani alokuwa mwenyekiti wa Tanganyika law society, je bila shaka hii ni kumaanisha hata mawakili kutoka Zanzibar ni wanachama na ndo MAANA bi Fatma alipata nafasi ya uongozi?
4. If that is the case, kwanini sasa haibadilishwi jina ikaitwa Tanzania law society Ili kumaanisha ni jumuiya ya mawakili pande zote mbili bara na visiwani?
Ngaiwoye
Maswali yangu kwa wajuzi:
1.Kwanini hii inaitwa Tanganyika law society na sio Tanzania law society??
2. Je Zanzibar napo huwa kuna Zanzibar law society??
3. Kuna wakati ndugu Fatma Karume kutoka Tanzania visiwani alokuwa mwenyekiti wa Tanganyika law society, je bila shaka hii ni kumaanisha hata mawakili kutoka Zanzibar ni wanachama na ndo MAANA bi Fatma alipata nafasi ya uongozi?
4. If that is the case, kwanini sasa haibadilishwi jina ikaitwa Tanzania law society Ili kumaanisha ni jumuiya ya mawakili pande zote mbili bara na visiwani?
Ngaiwoye