charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,371
Kila nikisikia hii habari huwa natafakari ni kwanini iliitwa hivo na sipati jibu. Sio uhusiano wowote na wala hata ukizingatia jina la kweli la mahala ambapo panafanyiwa uchafu huo haufananii na neno Tigo. Hivi huu mchezo mchavu wa kutumia emergency exit ni kwa nini ilipewa jina la Tigo (0713)?
Kwa nini wasiseme TTCL au Airtel ama Voda? Jina lilitokana na nini na limetokea wapi?
Kwa nini wasiseme TTCL au Airtel ama Voda? Jina lilitokana na nini na limetokea wapi?