Hakuna kitu kama hicho, wenzetu kule ndio kabisa maana ukitoka tuu unaweza kuhukumiwa kifo, sasa sijui mungu gani alisema uuliwe ukitoka ile dini, ni usanii mtupuKwahiyo hakuna Willing katika iman?
Hata uku kwa wagharatia yapo hayo usipoudhuria ibada unaandamwa kama vile hujaenda kazini. Dini ingekua kitu kizuri cha maana kabisa nafikiri kila mwenye akili angewiwa bila kutishwa wala kushawishiwaHakuna kitu kama hicho, wenzetu kule ndio kabisa maana ukitoka tuu unaweza kuhukumiwa kifo, sasa sijui mungu gani alisema uuliwe ukitoka ile dini, ni usanii mtupu
Wote sawa tuu tofauti zao ni majina tuu na viwango vya adhabu wanazotoaHata uku kwa wagharatia yapo hayo usipoudhuria ibada unaandamwa kama vile hujaenda kazini. Dini ingekua kitu kizuri cha maana kabisa nafikiri kila mwenye akili angewiwa bila kutishwa wala kushawishiwa
Dini ni uongo wa kuungaunga.Salaam, zingatia swali hapo juu.
Ati jamani yani kwanini?
Kwanini mpaka tuhaidiwe au tutishiwe ndo tuamini, kwahiyo tunafanya kwa kuogopa au kwa kushawishiwa?
Mfano: Utaambiwa kuna kuchomwa moto, kuna raha na starehe.
Ebu naombeni ufafanuzi kwa vyovyote unavyoelewa wewe au hata usivyoelewa na wewe tuchanganyikiwe wote.
Kwenye biblia angalau utaona akili,ila kwenye kurwani huko ni ukichaa na ujinga uliopitiliza.Basi waliotunga dini wana akili sana
Hivi inakuwaje wale mabwana na ndevu zote zile wanasadiki ujinga kama ule?Kwenye biblia angalau utaona akili,ila kwenye kurwani huko ni ukichaa na ujinga uliopitiliza.
Wasipokuzika unawaozea hapo na kuwachafulia hali ya hewa.Swala la kuzikwa mimi halijawah nitisha kabisa maana si jukum langu, ni jukum la serkali na wanaobaki.
“A judging God who has plans and acts purposively is a God to be obeyed and placated. Opportunistic preachers are then able to play on our hopes and fears in the face of such a God. They prescribe ways of acting that are calculated to avoid being punished by that God and earn his rewards. But, Spinoza insists, to see God or Nature as acting for the sake of ends—to find purpose in Nature—is to misconstrue Nature and “turn it upside down” by putting the effect (the end result) before the true cause.Salaam, zingatia swali hapo juu.
Ati jamani yani kwanini?
Kwanini mpaka tuhaidiwe au tutishiwe ndo tuamini, kwahiyo tunafanya kwa kuogopa au kwa kushawishiwa?
Mfano: Utaambiwa kuna kuchomwa moto, kuna raha na starehe.
Ebu naombeni ufafanuzi kwa vyovyote unavyoelewa wewe au hata usivyoelewa na wewe tuchanganyikiwe wote.
Kwenye biblia angalau utaona akili,ila kwenye kurwani huko ni ukichaa na ujinga uliopitiliza.
Wako brainwashed na mapepo,maya zaidi hawajitambui na dini haiwapi room ya kuhoji,ukihoji tu unnambiwa unakufuru wanakulima kichwa😀,yani kama mazombiHivi inakuwaje wale mabwana na ndevu zote zile wanasadiki ujinga kama ule?
Maana umekaa kama uongo wa mwalimu kwa watoto wa Nursery ukikua tu unagundua ulidanganywa.
Ahahah kweli wale mazombi asee, utasikia ibrahim alikua muislam mara msikiti wa Suleman ulijengwa na majini wasafi😄Wako brainwashed na mapepo,maya zaidi hawajitambui na dini haiwapi room ya kuhoji,ukihoji tu unnambiwa unakufuru wanakulima kichwa😀,yani kama mazombi
Mkuu unapoona Prof mzima kavaa milozari kwenye moja ya dominica yupo kwenye lile Grotto la Bikira Maria anasujudu pale,in tha situation what comes in your mind?Watunga dini ni Extra ordinary kwenye viwango vya akili, binafs huwa nawakubali sana watu wanaopiga pesa za wajinga kwa mlango wa dini mfano Mwamposa.
Mimi naona tabia za kurithi ndani yake alizoshindwa kuzipoteza licha ya kusoma sana.Mkuu unapoona Prof mzima kavaa milozari kwenye moja ya dominica yupo kwenye lile Grotto la Bikira Maria anasujudu pale,in tha situation what comes in your mind?