Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Tena hao at first glance tu unajua wako misguidedAhahah kweli wale mazombi asee, utasikia ibrahim alikua muislam mara msikiti wa Suleman ulijengwa na majini wasafi😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena hao at first glance tu unajua wako misguidedAhahah kweli wale mazombi asee, utasikia ibrahim alikua muislam mara msikiti wa Suleman ulijengwa na majini wasafi😄
Imani inaziburuza vibaya hadi intellectual faculties za professorMimi naona tabia za kurithi ndani yake alizoshindwa kuzipoteza licha ya kusoma sana.
Umenena vema BBLMi hua nawaza hivi sheria inasemaje kuhusu huku kutishiana maisha. Yaani kama naweza kumsĥitaki mtu alienitishia maisha mtaani na akafungwa au kupigwa faini, kwanini hawa wanaotutishia moto na mateso siku ya hukumu tusiwe na uwezo wa kuwashtaki polisi na mahakamani wakapigwa nyundo sero?
Mkuu Bush,Mi hua nawaza hivi sheria inasemaje kuhusu huku kutishiana maisha. Yaani kama naweza kumsĥitaki mtu alienitishia maisha mtaani na akafungwa au kupigwa faini, kwanini hawa wanaotutishia moto na mateso siku ya hukumu tusiwe na uwezo wa kuwashtaki polisi na mahakamani wakapigwa nyundo sero?
So mfano mtu akinifata akaniambia kesho naenda kwenye kaburi la babu yako namfukua maiti naitwanga viboko. Kisheria hii imekaaje?Mkuu Bush,
Unamshitaki mtu amekutishia maisha yako akafungwa au akapigwa faini. Ni sahihi kabisa.
Lakini linapokuja suala la watu kwa upande wa dini, vitisho huwa ni baada ya maisha yako haya ya duniani( according to religion context)
sasa Ni mahakama gani inayohusika kutoa hukumu baada ya kifo cha mtu?
Nafikiri Misingi ya Imani iheshimiwe. Na serikali haiwezi kuingilia mambo ya IMANI.
Acha kashfa na kejeli, hajalazimishwa kuamini we tulia subir ufe ndo utajua ukweli wa mambo Wala usipate tabu na mtu na Imani yake. Nakupa challenge wew na wenzio wa Aina yako ,nafkiri Tena we Ni mtu wa Zama hizi unajiona una maarifa meng na umejuua vtu vingi em na wew jaribu kutunga kitu ambacho unaweza kuwashawishi watu wote duniani waKukubali wao na vizazi vyao vyote vijavyo Kama mtume Muhammad swallahhah alayhi wassalaam.Hakuna logic kwa kweli,eti mtu mmoja mqurayshi kaenda zake kujificha mapangoni ale msuba,kala msuba weee umemkolea anaanza kudai sijui katokewa na nani eti
Sio kidogoBasi waliotunga dini wana akili sana
OkAcha kashfa na kejeli, hajalazimishwa kuamini we tulia subir ufe ndo utajua ukweli wa mambo Wala usipate tabu na mtu na Imani yake. Nakupa challenge wew na wenzio wa Aina yako ,nafkiri Tena we Ni mtu wa Zama hizi unajiona una maarifa meng na umejuua vtu vingi em na wew jaribu kutunga kitu ambacho unaweza kuwashawishi watu wote duniani waKukubali wao na vizazi vyao vyote vijavyo Kama mtume Muhammad swallahhah alayhi wassalaam.
Kama hamuwezi mumuheshimu huyu mtume Mana ana wafuasi kuliko hata hao ma genius wenu mnaowasifu au watu wenye vipaji na matajiri.
"Subiri ufe ndio utajua ukweli wa mambo" Ukweli upi shehe? Wewe umewahi kufa mpaka ujue Kuna ukweli.?Acha kashfa na kejeli, hajalazimishwa kuamini we tulia subir ufe ndo utajua ukweli wa mambo Wala usipate tabu na mtu na Imani yake. Nakupa challenge wew na wenzio wa Aina yako ,nafkiri Tena we Ni mtu wa Zama hizi unajiona una maarifa meng na umejuua vtu vingi em na wew jaribu kutunga kitu ambacho unaweza kuwashawishi watu wote duniani waKukubali wao na vizazi vyao vyote vijavyo Kama mtume Muhammad swallahhah alayhi wassalaam.
Kama hamuwezi mumuheshimu huyu mtume Mana ana wafuasi kuliko hata hao ma genius wenu mnaowasifu au watu wenye vipaji na matajiri.
Kinachofanya uone kama biblia ina akili ni kwasababu biblia imekuwa edited mara nyingi sana. Kila baada ya muda fulani kuna vifungu vinachomolewa mle hasa vikionekana vina mkanganyiko au haviendani na kinachoelezwa, au kwa matakwa mengine ya kidini na kisiasa.Kwenye biblia angalau utaona akili,ila kwenye kurwani huko ni ukichaa na ujinga uliopitiliza.
Kwani mi nimesema ukweli Ni upi Ila Imani yangu ndio naamini kile nachokijua Mimi ndo ukweli lakni we swez kukufosi uamini kwahyo ili ujue mimi nimepotea au nimeongoka subir ufe tu ndo utayakinisha Nani mkweli."Subiri ufe ndio utajua ukweli wa mambo" Ukweli upi shehe? Wewe umewahi kufa mpaka ujue Kuna ukweli
Huna shaka ntayakuta Kwa facts zipi ulizonazo, unasema unaamini kwani kuamini ni kujua? Hata kesho Yako tu hulijui unajifanya kujua ya ahera.👎👎Kwani mi nimesema ukweli Ni upi Ila Imani yangu ndio naamini kile nachokijua Mimi ndo ukweli lakni we swez kukufosi uamini kwahyo ili ujue mimi nimepotea au nimeongoka subir ufe tu ndo utayakinisha Nani mkweli.
Mana sisi tunaamini ukifa tuu ndo mwanzo wa akhera utajionea yote n,kwahyo usipoyakuta wew itakuwa mwerevu.
Na sina Shaka utayakuta .