Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Keyboard warriors gang for life!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keyboard warriors gang for life!!
Serikali ya Tanzania ni mojawapo ya serikali ambazo ziko elastic kutokana na uimara na mfumo wa uongozi unaotokea kwenye mifumo ya chama cha mapinduzi. Tanzania is under the system. Not under a single leader sometimes call themselves party leaders. Through GoT systems and CCM systems, an equilibrium is established. Inajisahihisha bila kuwa na tamaa iliyopitiliza.IMF wamekuwa na Sera ya kutaka Serikali hasa za Africa zinazo kopa IMF kupunguza gharama za kuendesha Serikali ili waweze kuwa na unafuu wa kukopa Madeni yao.
Hii shinikizo iko kwenye nchi nyingi ikiwemo Kenya,Ila cha ajabu Tanzania sijawaji liona hili na badala yake Serikali ndio kwanza inajiensesha kwa anasa kubwa sana.
Raisi anacho jua ni kusisitiza tulinde amani ili ili wao waendelee kula kwa anasa.
Shetani ni fala sana .IMF wamekuwa na Sera ya kutaka Serikali hasa za Africa zinazo kopa IMF kupunguza gharama za kuendesha Serikali ili waweze kuwa na unafuu wa kukopa Madeni yao.
Hii shinikizo iko kwenye nchi nyingi ikiwemo Kenya,Ila cha ajabu Tanzania sijawaji liona hili na badala yake Serikali ndio kwanza inajiensesha kwa anasa kubwa sana.
Raisi anacho jua ni kusisitiza tulinde amani ili ili wao waendelee kula kwa anasa.
Bado tunakopesheka
Alisema jamaa mmoja humu
Kenya walikopa madeni makubwa kutoka China wakashindwa kulipa,ndipo wakaigeukia IMF na World Bank kuomba mikopo zaidi ili wapunguze deni la China.Kama kawaida IMF na World Bank wakawapa "msaafu"wa masharti kibao,nasikia na ile Financial Bill ilitungwa na IMF. Matokeo ndio haya.Kama Kenya walipewa hayo masharti how did they get to this point?