JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Ukienda kufanya service ya brake huwa unarekebisha au kubadili nini?
Je, umewahi kubadili Brake fluid?
Inashauriwa kubadili Brake fluid kila baada ya miaka 2 au 48,000Km (Lolote litaloanza kati ya hayo mawili) kwa sababu kuu mbili,
1. Kuingia kwa vumbi na particles zingine kwenye master cylinder kunaweza kuathiri ufanyaji kazi wa mafuta ya brake. Hili tuliache
2. Mafuta ya brake yana tabia ya kufyonza unyevu kutoka kwenye hewa. Ndio maana haishauri kuacha mfuniko wa master cylinder wazi. Hili la unyevu ndio hasa maada kuu.
Ingawa mfuniko wa master wa master cylinder muda mwingi unakuwa umefungwa, huwa kunakuwa na tundu dogo kwenye mfuniko kwa ajili ya kupumua (Breather). Hapa ndio unyevu huingia kwenye Brake fluid.
Asilimia ya kiasi cha unyevu kitakachokuwepo kwenye mafuta ya brake ndio itakayotuambia kama mafuta hayo yanafaa kuendelea kutumika au lah.
Mchanganuo upo kama ifuatavyo.
0% - 2% ya unyevu, Ni kiwango kinachokubalika.
3% ya unyevu, Tunashauri mtu abadilishe brake fluid.
Kuanzia 4% ya unyevu na kuendelea, Utahitajika kubadilisha mafuta ya brake haraka sana. Upo hatarini brake zako kufeli.
Tunacho kifaa maalumu kwa ajili ya kupima kiwango cha unyevu katika mafuta ya brake. Gharama ni Tsh. 10,000/= Kwa gari yoyote. Asilimia zaidi ya 95 ya gari ndogo zinazotembea humu barabarani zinatumia mafuta kwenye brake.
Pia kwa mtu atakayehitaji kumwaga mafuta ya brake tunayo tool ya kisasa ambayo hucommand pump ya ABS pamoja na solenoid valves za tairi na mafuta yote yakatoka kwenye mfumo.
Hii ni njia ya kisasa zaidi kwa sababu mafuta yote hutoka ukilinganisha na ile njia ambayo wengi hutumia (Kufungua bleed valve na kukanyaga Brake pedal, Hii huacha mafuta kwenye mfumo wa ABS kwa sababu pump haizunguki).
Pia baada ya kuweka mafuta mapya tutakufanyia ABS bleeding kwa mashine yaani kutoa hewa kwenye mfumo wa ABS. Na kwa gari za ulaya/marekani ukifanya ABS bleeding unakuwa ndio umeshamaliza kutoa hewa kwenye mfumo wote wa brake ila kwa gari za japan bado tutalazimika kutoa upepo kwa ya kawaida hata baada ya kufanya ABS bleeding. (Haya tunaweza kuzungumza gharama).
Pia
Kama unahitaji Diagnosis ya gari lolote dogo kampuni yoyote.
Unahitaji check up ya mifumo ya umeme. Charging system, Starting system, Battery n.k. Tuna kifaa maalumu kwa ajili ya kazi hii.
Unasikia kelele yoyote kwenye engine. Tinacho kifaa maalumu kutuambia kelele zinatokea sehemu gani exact.
Tuwasiliane
Nipo Dar es salaam, Magomeni, Mwembechai.
Simu/WhatsApp +255 621 221 606.
Karibuni sana.
Je, umewahi kubadili Brake fluid?
Inashauriwa kubadili Brake fluid kila baada ya miaka 2 au 48,000Km (Lolote litaloanza kati ya hayo mawili) kwa sababu kuu mbili,
1. Kuingia kwa vumbi na particles zingine kwenye master cylinder kunaweza kuathiri ufanyaji kazi wa mafuta ya brake. Hili tuliache
2. Mafuta ya brake yana tabia ya kufyonza unyevu kutoka kwenye hewa. Ndio maana haishauri kuacha mfuniko wa master cylinder wazi. Hili la unyevu ndio hasa maada kuu.
Ingawa mfuniko wa master wa master cylinder muda mwingi unakuwa umefungwa, huwa kunakuwa na tundu dogo kwenye mfuniko kwa ajili ya kupumua (Breather). Hapa ndio unyevu huingia kwenye Brake fluid.
Asilimia ya kiasi cha unyevu kitakachokuwepo kwenye mafuta ya brake ndio itakayotuambia kama mafuta hayo yanafaa kuendelea kutumika au lah.
Mchanganuo upo kama ifuatavyo.
0% - 2% ya unyevu, Ni kiwango kinachokubalika.
3% ya unyevu, Tunashauri mtu abadilishe brake fluid.
Kuanzia 4% ya unyevu na kuendelea, Utahitajika kubadilisha mafuta ya brake haraka sana. Upo hatarini brake zako kufeli.
Tunacho kifaa maalumu kwa ajili ya kupima kiwango cha unyevu katika mafuta ya brake. Gharama ni Tsh. 10,000/= Kwa gari yoyote. Asilimia zaidi ya 95 ya gari ndogo zinazotembea humu barabarani zinatumia mafuta kwenye brake.
Pia kwa mtu atakayehitaji kumwaga mafuta ya brake tunayo tool ya kisasa ambayo hucommand pump ya ABS pamoja na solenoid valves za tairi na mafuta yote yakatoka kwenye mfumo.
Hii ni njia ya kisasa zaidi kwa sababu mafuta yote hutoka ukilinganisha na ile njia ambayo wengi hutumia (Kufungua bleed valve na kukanyaga Brake pedal, Hii huacha mafuta kwenye mfumo wa ABS kwa sababu pump haizunguki).
Pia baada ya kuweka mafuta mapya tutakufanyia ABS bleeding kwa mashine yaani kutoa hewa kwenye mfumo wa ABS. Na kwa gari za ulaya/marekani ukifanya ABS bleeding unakuwa ndio umeshamaliza kutoa hewa kwenye mfumo wote wa brake ila kwa gari za japan bado tutalazimika kutoa upepo kwa ya kawaida hata baada ya kufanya ABS bleeding. (Haya tunaweza kuzungumza gharama).
Pia
Kama unahitaji Diagnosis ya gari lolote dogo kampuni yoyote.
Unahitaji check up ya mifumo ya umeme. Charging system, Starting system, Battery n.k. Tuna kifaa maalumu kwa ajili ya kazi hii.
Unasikia kelele yoyote kwenye engine. Tinacho kifaa maalumu kutuambia kelele zinatokea sehemu gani exact.
Tuwasiliane
Nipo Dar es salaam, Magomeni, Mwembechai.
Simu/WhatsApp +255 621 221 606.
Karibuni sana.