Kwanini injili ya Barnabas iliteketezwa?

Kwanini injili ya Barnabas iliteketezwa?

Rough player

Member
Joined
May 26, 2018
Posts
39
Reaction score
120
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence,
bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada

kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba iliteketezwa ni karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja ilikua imeandikwa kwa lugha kihispania na moja kwa kitaliano je sababu zilikua ni zipi kwani barnaba hakua mwanafunzi wa yesu au kuna vitu tunafichwa tusivijue?
nilikua nasoma nakala moja inasemekana injili hiyo wakati wa pope glacious aliiteketeza na aliipiga marufuku kutumika kwanini?
na kwanini vitabu vingine vya injili havijajumuishwa kwenye bible?
pili nimekua nikisoma tu bible ila kuna vitabu vya watu wengi ambao ndio waliokua wanafunzi wa yesu lakini je ni wote walioteuliwa kuandika injili na yesu? kwa maana nyingine ni nani aliyeteuliwa na yesu mwenyewe aandike injili?

natumaini maswali yangu yameeleweka kama nitakua nimekosea mahala basi turekebishane kwa kua wote tupo kujifunza naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kupata hayo majibu ya hayo maswali husika ufia dini tuweke pembeni

nawasilisha
 
Mambo ya dini sio muhimu sana kuyachunguza maana yamekaa kiimani zaidi, usijaribu kufikiria ni sehemu gani dini au dhehebu lako lina mapungufu but jaribu kufikiria ni jinsi gani utaweza kuishi kulingana na misingi ya Dini yako!
Kaa kwa Amani Mtu wa Mungu
 
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence,
bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada

kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba iliteketezwa ni karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja ilikua imeandikwa kwa lugha kihispania na moja kwa kitaliano je sababu zilikua ni zipi kwani barnaba hakua mwanafunzi wa yesu au kuna vitu tunafichwa tusivijue?
nilikua nasoma nakala moja inasemekana injili hiyo wakati wa pope glacious aliiteketeza na aliipiga marufuku kutumika kwanini?
na kwanini vitabu vingine vya injili havijajumuishwa kwenye bible?
pili nimekua nikisoma tu bible ila kuna vitabu vya watu wengi ambao ndio waliokua wanafunzi wa yesu lakini je ni wote walioteuliwa kuandika injili na yesu? kwa maana nyingine ni nani aliyeteuliwa na yesu mwenyewe aandike injili?

natumaini maswali yangu yameeleweka kama nitakua nimekosea mahala basi turekebishane kwa kua wote tupo kujifunza naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kupata hayo majibu ya hayo maswali husika ufia dini tuweke pembeni

nawasilisha
Ambavyo vipo kwa bible umeshavimaliza vyote na kuvielewa?
 
Baada ya kuonekana iko tofauti sana na injili nyingine ndo mana ikapigwa marufuku. Hiyo injili huumiwa sana na waislam katika baadhi ya mandiko ku support Quran kwani yaongelea ujio wa mtume Muhhamadi na kutouliwa kwa Yesu msalabani.

Kama umuelewa unaeza gundua hizi dini ni miradi ya watu ili kutuweka akili zetu ndani ya BOX.
 
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence,
bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada

kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba iliteketezwa ni karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja ilikua imeandikwa kwa lugha kihispania na moja kwa kitaliano je sababu zilikua ni zipi kwani barnaba hakua mwanafunzi wa yesu au kuna vitu tunafichwa tusivijue?
nilikua nasoma nakala moja inasemekana injili hiyo wakati wa pope glacious aliiteketeza na aliipiga marufuku kutumika kwanini?
na kwanini vitabu vingine vya injili havijajumuishwa kwenye bible?
pili nimekua nikisoma tu bible ila kuna vitabu vya watu wengi ambao ndio waliokua wanafunzi wa yesu lakini je ni wote walioteuliwa kuandika injili na yesu? kwa maana nyingine ni nani aliyeteuliwa na yesu mwenyewe aandike injili?

natumaini maswali yangu yameeleweka kama nitakua nimekosea mahala basi turekebishane kwa kua wote tupo kujifunza naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kupata hayo majibu ya hayo maswali husika ufia dini tuweke pembeni

nawasilisha
Injili ya barnaba haikuandikwa na yule barnaba mwanafunzi wa Yes Bali iliandikwa na mtu mmoja wa Morocco ilivyopitiwa ikaona imepotoshwa na ilivyoangaliwa kwenye Carbon 14 ikaonekana imeandikwa miaka mingi baada ya kristo hata baada ya Uislam,kwaio ile injili ilikua ya upotoshaji
 
Injili ya barnaba haikuandikwa na yule barnaba mwanafunzi wa Yes Bali iliandikwa na mtu mmoja wa Morocco ilivyopitiwa ikaona imepotoshwa na ilivyoangaliwa kwenye Carbon 14 ikaonekana imeandikwa miaka mingi baada ya kristo hata baada ya Uislam,kwaio ile injili ilikua ya upotoshaji


Hili jibu la tosha.. ila hiyo injili mpaka leo kwa hadi kwa ya kingereza

The Gospel of Barnabas - Biblical Studies.org.uk PDFhttps://biblicalstudies.org.uk › vox › vol10

Kazi kwako mkuu..
 
Hii apa ishushe mkuu..
Screenshot_20181006-110300.jpg
Screenshot_20181006-110254.jpg
 
Injiri ya Barnabas haijateketezwa na ipo mitaani inauzwa na wala haijapigwa marufuku na taasisi yoyote, kama kitabu cha Aya za Shetani.
Kama unaihitaji unaweza kuinunua na ukaisoma na kuifuata bila bigudha yoyote ile kama unaipenda.
 
Mambo ya dini sio muhimu sana kuyachunguza maana yamekaa kiimani zaidi, usijaribu kufikiria ni sehemu gani dini au dhehebu lako lina mapungufu but jaribu kufikiria ni jinsi gani utaweza kuishi kulingana na misingi ya Dini yako!
Kaa kwa Amani Mtu wa Mungu
Dunia tunayoishi sasa hivi sio hiyo unayoongelea. Tunataka kujua ukweli wa mambo.

Kwanini jambo fulani lilifanyika hivi na si vile? Kwanini fulani na si fulani?

Tunataka kuujua ukweli hayao mambo ya kusema imani yamepitwa na wakati.
 
Baada ya kuonekana iko tofauti sana na injili nyingine ndo mana ikapigwa marufuku. Hiyo injili huumiwa sana na waislam katika baadhi ya mandiko ku support Quran kwani yaongelea ujio wa mtume Muhhamadi na kutouliwa kwa Yesu msalabani.

Kama umuelewa unaeza gundua hizi dini ni miradi ya watu ili kutuweka akili zetu ndani ya BOX.
Sizani kama barnaba anapiga kifo cha yesu kwa kuwa hata waraka kwa waebrania aliouandika yeye unaonyesha nguvu ya kifo cha yesu
 
Injili ya barnaba haikuandikwa na yule barnaba mwanafunzi wa Yes Bali iliandikwa na mtu mmoja wa Morocco ilivyopitiwa ikaona imepotoshwa na ilivyoangaliwa kwenye Carbon 14 ikaonekana imeandikwa miaka mingi baada ya kristo hata baada ya Uislam,kwaio ile injili ilikua ya upotoshaji
Mkuu hii sio hoja hata Daniel hakuandika kitabu cha Daniel wala waebrania hakikuandikwa na Paulo na hata kitabu cha mwanzo kimeandikwa kipindi waisrael wapo uhamishoni huko babylon hivyo hoja ingekuwa kwenye source zake muandishi ila tarehe na uandishi 70% ya Biblia haikuandikwa na manabii waliohusishwa na hivyo vitabu kama sio unaweza ukatusaidia nani muandishi wa wimbo ulio bora ambacho kimeandikwa miaka 200 baada ya suleiman kufa.... Au unaweza tusaidia muandishi wa mwanzo ambacho kimeandikwa zaidi ya miaka 600 baada ya musa kufa??

Ubarikiwe
 
Ambavyo vipo kwa bible umeshavimaliza vyote na kuvielewa?
Labda niseme tu wakati hizi injili zinaandikwa hakukuwa na Biblia ya agano la jipya ila miaka 300 baada ya Yesu kufa ndio kanisa likaamua kuwa na standard bible ndio wakafanya canonization na kuchagua vipi viingie vipi vibaki so tunapochangia tusiwe na mawazo kwamba agano jipya lilikuwa na vitabu 27 toka mwanzo bali watu wachache walikaa ndio wakaamua hivyo 27 ndio vibaki so tuzingatie hilo
 
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence,
bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada

kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba iliteketezwa ni karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja ilikua imeandikwa kwa lugha kihispania na moja kwa kitaliano je sababu zilikua ni zipi kwani barnaba hakua mwanafunzi wa yesu au kuna vitu tunafichwa tusivijue?
nilikua nasoma nakala moja inasemekana injili hiyo wakati wa pope glacious aliiteketeza na aliipiga marufuku kutumika kwanini?
na kwanini vitabu vingine vya injili havijajumuishwa kwenye bible?
pili nimekua nikisoma tu bible ila kuna vitabu vya watu wengi ambao ndio waliokua wanafunzi wa yesu lakini je ni wote walioteuliwa kuandika injili na yesu? kwa maana nyingine ni nani aliyeteuliwa na yesu mwenyewe aandike injili?

natumaini maswali yangu yameeleweka kama nitakua nimekosea mahala basi turekebishane kwa kua wote tupo kujifunza naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kupata hayo majibu ya hayo maswali husika ufia dini tuweke pembeni

nawasilisha
Mkuu kwanza nikupongeze kwa mada nzuri maana napenda sana watu wanaohoji ili kujifunza..... Nitarudi nichangie kwa upana zaidi ngoja niwaite na wataalamu hawa
Mnabuduhe Son of Gamba SALA NA KAZI lifecoded Malcom Lumumba Wick mitale na midimu
 
Labda niseme tu wakati hizi injili zinaandikwa hakukuwa na Biblia ya agano la jipya ila miaka 300 baada ya Yesu kufa ndio kanisa likaamua kuwa na standard bible ndio wakafanya canonization na kuchagua vipi viingie vipi vibaki so tunapochangia tusiwe na mawazo kwamba agano jipya lilikuwa na vitabu 27 toka mwanzo bali watu wachache walikaa ndio wakaamua hivyo 27 ndio vibaki so tuzingatie hilo
Kwa hali hii ni ngumu hata kupambanisha biblia na vitabu vyengine ili kutaka kujua ni kipi kitabu cha kweli.
 
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence,
bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada

kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba iliteketezwa ni karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja ilikua imeandikwa kwa lugha kihispania na moja kwa kitaliano je sababu zilikua ni zipi kwani barnaba hakua mwanafunzi wa yesu au kuna vitu tunafichwa tusivijue?
nilikua nasoma nakala moja inasemekana injili hiyo wakati wa pope glacious aliiteketeza na aliipiga marufuku kutumika kwanini?
na kwanini vitabu vingine vya injili havijajumuishwa kwenye bible?
pili nimekua nikisoma tu bible ila kuna vitabu vya watu wengi ambao ndio waliokua wanafunzi wa yesu lakini je ni wote walioteuliwa kuandika injili na yesu? kwa maana nyingine ni nani aliyeteuliwa na yesu mwenyewe aandike injili?

natumaini maswali yangu yameeleweka kama nitakua nimekosea mahala basi turekebishane kwa kua wote tupo kujifunza naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kupata hayo majibu ya hayo maswali husika ufia dini tuweke pembeni

nawasilisha
Hakuna INJILI ya barnaba wewe [emoji53] INJILI ni ya YESU tu [emoji106]
 
Back
Top Bottom