Kwanini injili ya Barnabas iliteketezwa?

Kwanini injili ya Barnabas iliteketezwa?

Ni kweli kabisa QURAN imeweka wazi dhana ni jambo baya kwa mfano mimi sijui wana wa ZATU walikuwa wangapi kati ya hawa?
EZRA 2:8
" Wana wa ZATU , mia kenda arobaini na watano (945)
NEHEMIA 7:13
" Wana wa ZATU mia nane arobaini na watano"(845)

haya tuambie kwasababu DHANA ni mbaya sasa kati ya EZRA au NEHEMIA nani ametaja idadi sahihi ya wana wa ZATU waliotoka utumwani babiloni kurudi Yerusalem? tutoe hofu tupe jibu sahihi maana nasikia wewe unaongozwa na roho mtakatifu

UNAONA UNAVY0 DHANIA MIMI MAMBO YA UMMA WA MUSA YANANIHUSU [emoji15] [emoji12] [emoji117]
IMG_20181011_182007_055.jpg
 
Mkuu.
Katika Kutoka 34, Mungu anamwambia Musa aandike maneno ya Agano lake na Wana wa Israeli.
Nawe unatuambia kuwa Musa aliandika Sheria za Torati na Amri kumi, wakati Torati yenyewe iliandikwa, 600 kabla ya Kristo na Musa alikufa yapata miaka 1000 kabla ya Kristo.
Kwa manano yako Musa alikufa zamani zaidi yaani miaka 1000kk na Torati ikaja kuandikwa baadae miaka 600kk.
Naina jambo hili linafanana tu na walioandika Injiri na nyaraka nyingine za Agano jipya, kwamba wanafunzi na mitume waliandika Injiri ya Yesu Kristo baada ya Yesu mwenyewe kwenda mbinguni.
Huu ukweli unaweza kututhibitishia kuwa Musa alishaandika Agano la Kale ambalo tunaweza kuliita Torati, miaka 600 kabla ya Kristo, kama alivyoagizwa na Mungu katika Kutoka 34, kwa kuwa Sheria za Torati na Amri Kumi alizo andika Musa, ndio Torati yenyewe.
Manabii na Mitume wengine wakaja kuiandika kitaaluma zaidi, kwamba katika kuiandika na kuihifadhi katika vitabu vya kisasa, miaka 400 baadae.
Ndivyo ninavyo elewa kwa mtazamo wangu.
Mkuu hivyo ndivyo unavyoelewa lakini hakuna ushahidi kuwa aliandika Musa kama unao tuwekee hapa... Mfano lugha,nahau,misemo iliyotumika ni ya kipindi cha wayahudi wakiwa uhamishoni labda nisuggest ukasome kuhusu nadharia ya wanatheolojia inaitwa DOCUMENTARY HYPOTHESIS ambayo inaeleza jinsi gani kitabu cha mwanzo kiliandikwa na watu 5 tofauti kabisa ambao waliishi vipindi tofauti.... Lakini mpaka navyoongea hakujawahi kuwepo kitabu cha mwanzo au kutoka kabla ya 600 BC ndio maana nikauliza kama una ushahidi musa aliandika kitabu cha mwanzo tusaidiane hapa alikiandika lini na wapi. Hiyo ya kusema aliandika alafu wakaja kuiweka kisomi ni assumptions tu lakini nafahamu ushahidi huna maana hakukuwahi kuwa na KITABU CHA MWANZO au KUTOKA kabla ya 600 BC hicho ndio nataka kifahamike.

The Documentary Hypothesis Evidence
 
Wachangiaji wengi wanaipinga kwa kule kushabihiana na QURAN , lakini bado sijaona hoja ya msingi
Ni kweli na hivyo ndivyo ilivyo! Tunaamini dini zilizokuja na wajumbe wa ALLAH hazipingani. Mengine ni usanii tu.
 
Hapana mkuu.
Mi nakufuatilia na kuona unavyochangia.
Naona tu unasema Injiri fulani imekosewa.
Ndio maana makuuliza,
Wewe umeisoma Injiri ipi ambayo ipo sahihi ?
Kama hujawahi kuiona injiri sahihi basi sema tu ili tujue mtazamo wako.
Kwakuwa huwezi kuikosoa injiri fulani bila kuijua injiri ya kweli.
Ndio maana nakuambia kuwa wewe kwa hekima yako unaikubali Injiri gani ?
Mimi sijadili kukosewa kwa injili mkuu, mimi najadili hoja zako unazotumia kuikataa injili ya barnaba ,zinaonekana ni za upande mmoja ,kwasababu hata hivyo vitabu vingine vinamakosa lakini mbona unaviamini? iweje makosa ya barnaba wewe ndio uyatolee macho tu
 
UNAONA UNAVY0 DHANIA MIMI MAMBO YA UMMA WA MUSA YANANIHUSU
emoji15.png
emoji12.png
emoji117.png
View attachment 895238
Mimi si dhanii nafahamu wewe unaongozwa na roho mtakatifu ebu mwambie akuonyeshe kati ya EZRA au NEHEMIA nan kasema kweli? kama roho mtakatifu kashindwa kujua mkweli nani pia ruksa kusema
EZRA 2:8
"Wana wa ZATU ni mia kenda arobaini na watano(945)
NEHEMIA 7:13
" wana wa ZATU mia nane arobaini na watano(845)

ebu tuambie kati ya hawa wawili yupi kasema kweli? au roho anaekuongoza kwenye kweli yuko likizo
 
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence,
bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada

kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba iliteketezwa ni karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja ilikua imeandikwa kwa lugha kihispania na moja kwa kitaliano je sababu zilikua ni zipi kwani barnaba hakua mwanafunzi wa yesu au kuna vitu tunafichwa tusivijue?
nilikua nasoma nakala moja inasemekana injili hiyo wakati wa pope glacious aliiteketeza na aliipiga marufuku kutumika kwanini?
na kwanini vitabu vingine vya injili havijajumuishwa kwenye bible?
pili nimekua nikisoma tu bible ila kuna vitabu vya watu wengi ambao ndio waliokua wanafunzi wa yesu lakini je ni wote walioteuliwa kuandika injili na yesu? kwa maana nyingine ni nani aliyeteuliwa na yesu mwenyewe aandike injili?

natumaini maswali yangu yameeleweka kama nitakua nimekosea mahala basi turekebishane kwa kua wote tupo kujifunza naomba wajuzi wa mambo mnisaidie kupata hayo majibu ya hayo maswali husika ufia dini tuweke pembeni

nawasilisha
Mimi nimepitia kurasa za injili ya Barnabas Wee imeandika mfumo halisi wa Maisha ya yesu kua desturi yake alikua anachukua udhu na kuingia msikitini sasa ttzo linaanzia hapo pia yule ni mwanafunzi wake na sio Paulo. Paulo kuandika Baada ya miaka 4 kufa kwa yesu anadai kaota ndotoni
 
Mimi sijadili kukosewa kwa injili mkuu, mimi najadili hoja zako unazotumia kuikataa injili ya barnaba ,zinaonekana ni za upande mmoja ,kwasababu hata hivyo vitabu vingine vinamakosa lakini mbona unaviamini? iweje makosa ya barnaba wewe ndio uyatolee macho tu
Basi nikujibu hivi,
Injiri ambayo haina makosa kabisa ni.
1. Injiri ya Barnaba,
2. Injiri iliyoandikwa kwenye Qurani tukufu.
Injiri nyingine zote zinamakosa na hazifai kwa matumizi ya binadamu.
Vipi mkuu, masudi mushahala, jibu zuri si ndio hilo kaka ?
 
Basi nikujibu hivi,
Injiri ambayo haina makosa kabisa ni.
1. Injiri ya Barnaba,
2. Injiri iliyoandikwa kwenye Qurani tukufu.
Injiri nyingine zote zinamakosa na hazifai kwa matumizi ya binadamu.
Vipi mkuu, masudi mushahala, jibu zuri si ndio hilo kaka ?
Hili ndio tatizo lako mtoa mada ndio anaweza kufanya conclusion , ila mimi na wewe ni Wachangiaji tu, tunaweza elewana kutokuelewana hii inakubalika,injili ya barnaba itabaki hivyo ilivyo, ila ukiitoa kasoro jipange kweli kweli , sababu utakazotoa lazima zijadiliwe ili usije ukawa BIASED
 
Mimi si dhanii nafahamu wewe unaongozwa na roho mtakatifu ebu mwambie akuonyeshe kati ya EZRA au NEHEMIA nan kasema kweli? kama roho mtakatifu kashindwa kujua mkweli nani pia ruksa kusema
EZRA 2:8
"Wana wa ZATU ni mia kenda arobaini na watano(945)
NEHEMIA 7:13
" wana wa ZATU mia nane arobaini na watano(845)

ebu tuambie kati ya hawa wawili yupi kasema kweli? au roho anaekuongoza kwenye kweli yuko likizo

unaendelea kudanganya na kudhani [emoji12] toka lini wewe mtoto wa mshahara unayo ilimu ya Roho [emoji350] [emoji344] [emoji12] hivi kisa cha kudandia dandia nini [emoji350] [emoji344] hamu, fani ya wazimu au kujionyesha unajua wakati hujui kwamba hujui...[emoji12]
 
Kwahiyo unakubali kuwa kuna aliyoyafanya Yesu ambayo yangeandikwa usingeyaamini na wala yasingekusaidia kufuzu?
Ukishiba utaendelea kula [emoji350] [emoji344] hakuna jema jipya, na hakuna pia uovu mpya [emoji53]
 
Mimi nimepitia kurasa za injili ya Barnabas Wee imeandika mfumo halisi wa Maisha ya yesu kua desturi yake alikua anachukua udhu na kuingia msikitini sasa ttzo linaanzia hapo pia yule ni mwanafunzi wake na sio Paulo. Paulo kuandika Baada ya miaka 4 kufa kwa yesu anadai kaota ndotoni
msikiti gani aliingia Yesu [emoji344] [emoji12]
 
unaendelea kudanganya na kudhani [emoji12] toka lini wewe mtoto wa mshahara unayo ilimu ya Roho [emoji350] [emoji344] [emoji12] hivi kisa cha kudandia dandia nini [emoji350] [emoji344] hamu, fani ya wazimu au kujionyesha unajua wakati hujui kwamba hujui...[emoji12]
Ujajibu swali la msingi unaanza kutoa vijembe, wewe unayefahamu mambo ya roho ebu tuambie kati ya EZRA au NEHEMIA nani kasema kweli? mwambie roho akusaidie kukupa jibu sahihi
EZRA 2:8
"Wana wa ZATU ,mia kenda arobaini na watano(945)
NEHEMIA 7:13
"Wana wa ZATU, mia nane arobaini na watano(845)"

Haya tujulishe kwa uwezo wa roho unayemlilia kila siku
 
Ukishiba utaendelea kula [emoji350] [emoji344] hakuna jema jipya, na hakuna pia uovu mpya [emoji53]
Swali langu ni hili kumbe kuna mambo mengi alifanya yesu ambayo ayakuandikwa kwasababu hamtayaamini wala hayamisaidii kufuzu?
 
Ujajibu swali la msingi unaanza kutoa vijembe, wewe unayefahamu mambo ya roho ebu tuambie kati ya EZRA au NEHEMIA nani kasema kweli? mwambie roho akusaidie kukupa jibu sahihi
EZRA 2:8
"Wana wa ZATU ,mia kenda arobaini na watano(945)
NEHEMIA 7:13
"Wana wa ZATU, mia nane arobaini na watano(845)"

Haya tujulishe kwa uwezo wa roho unayemlilia kila siku

Elimu ya Roho huna dogo [emoji53] ingekuwa unayo hayo ninayo kufundisha ni through HOLY SPIRIT [emoji4]
 
Elimu ya Roho huna dogo [emoji53] ingekuwa unayo hayo ninayo kufundisha ni through HOLY SPIRIT [emoji4]
Ndio uniambie kwa elimu yako wewe ya roho kati ya EZRA au NEHEMIA nani kasema kweli? inapotajwa takwimu maana yake anaweza kuwa sawa EZRA au anaweza kuwa sawa NEHEMIA lakini hawawezi kuwa sawa wote, hivyo tupe jibu roho wako anakwambia nani sahihi hapo au ni usanii tu
 
Back
Top Bottom