Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Wanasema tupo kwenye mapinduzi ya nne ya viwanda. Hayo yanategemea sana internet.
Kwa hiyo kwa sasa internet ni kama barabara kwa umuhimu wake.
Upatikanaji wa internet unawezesha maelfu ya shughuli za kiuchumi kufanyika.
Sasa ili kukuza huo uchumi kwanini serikali hazifanyi/haifanyi internet kuwa huduma ya bure?
Maana internet tunayotumia inatokana na mkongo wa Taifa ambao umejengwa na Serikali.
Mnaonaje internet ikawa bure?
Kwa hiyo kwa sasa internet ni kama barabara kwa umuhimu wake.
Upatikanaji wa internet unawezesha maelfu ya shughuli za kiuchumi kufanyika.
Sasa ili kukuza huo uchumi kwanini serikali hazifanyi/haifanyi internet kuwa huduma ya bure?
Maana internet tunayotumia inatokana na mkongo wa Taifa ambao umejengwa na Serikali.
Mnaonaje internet ikawa bure?