BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Mara ya kwanza nilidhani iPhone ni simu za watu wenye ujiko hivi au hadhi fulani.
Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya kujishebedua kuliko kuzingatia matumizi halisi ya simu husika.
Wanakwambia ati wanataka SECURITY, mtu mwenyewe simu yake kajaza mavideo ya ambaruti, sijui hata wanataka security gani.
Kila toleo jipya likitoka wanavamia kwa pupa, ati wanaenda na wakati!
Mwingine anauza genge la nyanya, anang'ang'ana na iphone mpaka anapata madhara kule nanihii.
Hizi iphone ZIANGALIWE upya. Zinaleta utaahira.
Unakuta dume limejikwatua na iPhone linajisnapchat ati!
Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya kujishebedua kuliko kuzingatia matumizi halisi ya simu husika.
Wanakwambia ati wanataka SECURITY, mtu mwenyewe simu yake kajaza mavideo ya ambaruti, sijui hata wanataka security gani.
Kila toleo jipya likitoka wanavamia kwa pupa, ati wanaenda na wakati!
Mwingine anauza genge la nyanya, anang'ang'ana na iphone mpaka anapata madhara kule nanihii.
Hizi iphone ZIANGALIWE upya. Zinaleta utaahira.
Unakuta dume limejikwatua na iPhone linajisnapchat ati!