Kwanini iPhone zimekaa kikike kike?

Kwanini iPhone zimekaa kikike kike?

Mara ya kwanza nilidhani iPhone ni simu za watu wenye ujiko hivi au hadhi fulani.

Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya kujishebedua kuliko kuzingatia matumizi halisi ya simu husika.

Wanakwambia ati wanataka SECURITY, mtu mwenyewe simu yake kajaza mavideo ya ambaruti, sijui hata wanataka security gani.

Kila tokeo jipya likitoka wanavamia kwa pupa, ati wanaenda na wakati!

Mwingine anauza genge la nyanya, anang'ang'ana na iphone mpaka anapata madhara kule nanihii.

Hizi iphone ZIANGALIWE upya. Zinaleta utaahira.

Unakuta dume limejikwatua na iPhone linajisnapchat ati!
Bichwa komwee halafu nikisema wewe ni academician unasema nadanganya. Hoja yako umeileta kitaalamu mno, naweza kuwa miongoni mwa wachache tulioelewa. Jamaa mjanja sana wewe!.[emoji38]

Anyway! Ni sahihi kabisa. Huenda wakawa na agenda yao ya siri labda kwenye hilo.
 
Bichwa komwee halafu nikisema wewe ni academician unasema nadanganya. Hoja yako umeileta kitaalamu mno, naweza kuwa miongoni mwa wachache tulioelewa. Jamaa mjanja sana wewe!.[emoji38]

Anyway! Ni sahihi kabisa. Huenda wakawa na agenda yao ya siri labda kwenye hilo.
I am BICHWA MOKWE THE BOSS

Nimeishia la saba mkuu 😂🤣
 
Mara ya kwanza nilidhani iPhone ni simu za watu wenye ujiko hivi au hadhi fulani.

Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya kujishebedua kuliko kuzingatia matumizi halisi ya simu husika.

Wanakwambia ati wanataka SECURITY, mtu mwenyewe simu yake kajaza mavideo ya ambaruti, sijui hata wanataka security gani.

Kila tokeo jipya likitoka wanavamia kwa pupa, ati wanaenda na wakati!

Mwingine anauza genge la nyanya, anang'ang'ana na iphone mpaka anapata madhara kule nanihii.

Hizi iphone ZIANGALIWE upya. Zinaleta utaahira.

Unakuta dume limejikwatua na iPhone linajisnapchat ati!
Kama zimekaa "kidada dada" basi hizo ni kwa wanaume. Au wewe unapenda vikaka kaka?
 
Nadhani kuna madini yanalegeza mikono ukishika simu hiyo maana huwa hadi masela wanalegeza mikono na mapozi yanakuwa ya kikekike.
 
Back
Top Bottom