Kwanini iwe wao tu wakishika hatamu ndio wanatutesa na sakata la umeme? Ina maana wao hawana huruma? Wazee wa madili

Kwanini iwe wao tu wakishika hatamu ndio wanatutesa na sakata la umeme? Ina maana wao hawana huruma? Wazee wa madili

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Yaani mkulu wa Bagams alipokuwa madarakani tuliteseka sana na umeme. Nchi ikawa gizani. Makelele ya jenereta yakawa komoni.

Sasa najiuliza mbona ule upande mwingine wa akina Mpina uliposhika hatamu haya ya mgao wa umeme yalipotea?

Ina maana hawa jamaa hawana huruma na sisi?
 
Yaani mkulu wa Bagams alipokuwa madarakani tuliteseka sana na umeme. Nchi ikawa gizani. Makelele ya jenereta yakawa komoni.

Sasa najiuliza mbona ule upande mwingine wa akina Mpina uliposhika hatamu haya ya mgao wa umeme yalipotea?

Ina maana hawa jamaa hawana huruma na sisi?
Waswahili kazi yao kubwa ni kusafiri kwenda nje kwenye starehe
 
Yaani mkulu wa Bagams alipokuwa madarakani tuliteseka sana na umeme. Nchi ikawa gizani. Makelele ya jenereta yakawa komoni.

Sasa najiuliza mbona ule upande mwingine wa akina Mpina uliposhika hatamu haya ya mgao wa umeme yalipotea?

Ina maana hawa jamaa hawana huruma na sisi?
Tusipepese macho, nchi hii huingia gizani wakati Rais akiwa muislam, ukweli ndio huo, bila kusahau safari za nje. Kwanini tuoneane aibu kuambina ukweli? Ukweli ndio utatuweka huru
 
Yaani mkulu wa Bagams alipokuwa madarakani tuliteseka sana na umeme. Nchi ikawa gizani. Makelele ya jenereta yakawa komoni.

Sasa najiuliza mbona ule upande mwingine wa akina Mpina uliposhika hatamu haya ya mgao wa umeme yalipotea?

Ina maana hawa jamaa hawana huruma na sisi?
Yuko kwenye biashara ya mafuta.. unategemea atapenda umeme uwe wa uhakika...
 
Wazee wa visomo, singo, kufunga mtaa kwa maturubai, kwenda dubai na nje kutembea. Wazee wa roadtrip huwa hawana substance ya kutatua changamoto.
 
Magufuri alikua na changamoto ya kukandamiza demokrasia ila uzuri wake hata ndani ya chama waliipata fredhi lakini Kwenye mambo ya maendeleo so far hana mfano
 
Naandika kwa herufi kubwa I LOVE U JPM.korosho nilizovuna mwaka nakaanga na kufanya tui kwenye mbaazi sijasikia hata siku moja Raisi akitutetea wakulima wa korosho kutokana na bei ya buku ya mwaka huu,Once again I LOVE U JPM ,WE MISS U JPM,RIP MZEE BABA , korosho sasa ni za kutafuna tu mpaka tunaharisha
 
Naandika kwa herufi kubwa I LOVE U JPM.korosho nilizovuna mwaka nakaanga na kufanya tui kwenye mbaazi sijasikia hata siku moja Raisi akitutetea wakulima wa korosho kutokana na bei ya buku ya mwaka huu,Once again I LOVE U JPM ,WE MISS U JPM,RIP MZEE BABA , korosho sasa ni za kutafuna tu mpaka tunaharisha
Mbona wanasema Sa100 ni raisi wa wakulima?
 
Back
Top Bottom