Kwanini iwekupatwa kwa Jua na siyo kupatwa kwa Dunia?

Kwanini iwekupatwa kwa Jua na siyo kupatwa kwa Dunia?

Junior Lecturer

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
913
Reaction score
582
Za kwenu wana JF?
Naona kunaupotoshi, kama siyo kulisingizia Jua limepatwa kumbe iliyopatwa ni Dunia.

Jua ni Nyota ambayo imezungukwa na sayari takribani kumi na kitu.
Mwezi huzunguka Dunia.

Kupatwa kwa mwezi hutokea pale Dunia inapokuwa katikati ya Mwezi na jua hivyo mwezi hushindwa kuakisi miale ya jua barabara kwa sababu ya na Dunia.

Nakupatwa kwa Dunia ambako ndio mnalisingizia jua ndo limepatwa hutokea pale mwezi unapo pita katikati ya Jua na Dunia, hivyo Dunia hushindwa kupata miale ya mwanga kutoka kwenye Jua. Je, inakuwaje kitendo hiki kiitwe kupatwa kwa Jua na siyo kupatwa kwa Dunia?

Hali yakuwa wakati jua likiendelea kuwaka kama kawaida Dunia ndiyo inayo kuwa imekingwa na Mwezi.

1472763664416.jpg
1472763704795.jpg
1472763727345.jpg


Dunia inakizunguka jua na mwezi unaizunguka Dunia.
Jua limetulia tuliii linapatwa he sasa hapo?

Ieleweke kuwa kilicho patwa Leo ni Dunia na siyo Jua.
Iendelee kueleweka hivyo, sawa?

1472763615022.jpg
 
Za kwenu wana JF?
Naona kunaupotoshi, kama siyo kulisingizia Jua limepatwa kumbe iliyopatwa ni Dunia.

Jua ni Nyota ambayo imezungukwa na sayari takribani kumi na kitu.
Mwezi huzunguka Dunia.

Kupatwa kwa mwezi hutokea pale Dunia inapokuwa katikati ya Mwezi na jua hivyo mwezi hushindwa kuakisi miale ya jua barabara kwa sababu ya na Dunia.

Nakupatwa kwa Dunia ambako ndio mnalisingizia jua ndo limepatwa hutokea pale mwezi unapo pita katikati ya Jua na Dunia, hivyo Dunia hushindwa kupata miale ya mwanga kutoka kwenye Jua. Je, inakuwaje kitendo hiki kiitwe kupatwa kwa Jua na siyo kupatwa kwa Dunia?

Hali yakuwa wakati jua likiendelea kuwaka kama kawaida Dunia ndiyo inayo kuwa imekingwa na Mwezi.

View attachment 391912View attachment 391913View attachment 391914

Dunia inakizunguka jua na mwezi unaizunguka Dunia.
Jua limetulia tuliii linapatwa he sasa hapo?

Ieleweke kuwa kilicho patwa Leo ni Dunia na siyo Jua.
Iendelee kueleweka hivyo, sawa?

View attachment 391911
Kwa watu wanaoishi Juani (Kama wapo), kwao hili tukio ni la kupatwa kwa Dunia, ila kwa sisi tuliopo Duniani, ni kupatwa kwa jua. Kumbuka "Frame of Reference" kwa matukio ya Ki-Sayansi. Ubarkiwe.
 
Ni kweli kabsaa inabidi tuwe watu wa kuchanganua mambo katika ukweli wake Na sio kukubali yote tunayoambiwa Na kufundishwa Na wazungu
 
Kupatwa ni kufunikwa, Kupatwa kwa Jua ni kwamba mwanga wa jua haufiki sehemu fulani ya dunia kwa sababu ya kufunikwa na mwezi. Kupatwa kwa mwezi pia ni hali ya mwezi kufunikwa na kivuli cha dunia na hivyo kuwa obscured. Aliyefunikwa ndo kapatikana, ieleweke hivyo.....
 
Kupatwa ni kufunikwa, Kupatwa kwa Jua ni kwamba mwanga wa jua haufiki sehemu fulani ya dunia kwa sababu ya kufunikwa na mwezi. Kupatwa kwa mwezi pia ni hali ya mwezi kufunikwa na kivuli cha dunia na hivyo kuwa obscured. Aliyefunikwa ndo kapatikana, ieleweke hivyo.....
Kwa maelezo yako huku ni kupatwa kwa Dunia
 
ni matatizo ya tafsiri tu mkuu..
Kulingana na OXFORD DICTIONARY, maana ya Solar Eclipse (kupatwa kwa jua) ni hii:
solar eclipse
▸ noun: an eclipse in which the sun is obscured by the moon.

MAANA YA NENO OBSCURE NI HII:
Obscure
verb [with obj.] keep from being seen; conceal:
grey clouds obscure the sun. (mawingu ya kijivu yamelificha jua/ Jua limefichwa na mawingu ya kijivu)

neno obscure manake ni kuficha..
sasa kama SOLAR ECLIPSE is an eclipse in which the sun is obscured by the moon, kwa kiswahili tunasema Kupatwa kwa Jua ni kitendo cha jua kufichwa na mwezi.

kwa tafsiri hii unaweza kusema neno kupatwa ni sawa na neno kufichwa.
 
ni matatizo ya tafsiri tu mkuu..
Kulingana na OXFORD DICTIONARY, maana ya Solar Eclipse (kupatwa kwa jua) ni hii:
solar eclipse
▸ noun: an eclipse in which the sun is obscured by the moon.

MAANA YA NENO OBSCURE NI HII:
Obscure
verb [with obj.] keep from being seen; conceal:
grey clouds obscure the sun. (mawingu ya kijivu yamelificha jua/ Jua limefichwa na mawingu ya kijivu)

neno obscure manake ni kuficha..
sasa kama SOLAR ECLIPSE is an eclipse in which the sun is obscured from the moon, kwa kiswahili tunasema Kupatwa kwa Jua ni kitendo cha jua kufichwa na mwezi.

kwa tafsiri hii unaweza kusema neno kupatwa ni sawa na neno kufichwa.
Kwani kuna watu ambao wanaishi kwenye jua?
Kiasi cha kupata athari za kupatwa huko kwa jua?
 
Maneno yatumikayo sasa hivi yako sahihi na hakuhitajiki kurekebishwa wala nini.
 
Jamani ufafanuzi zaidi juu ya hili kunamkanganyiko hapo tufundishe kipi sas?

simple 2 mkuu,

kupatwa kwa jua manake mwezi unablock mwanga wa jua usiangaze juu ya dunia

kupatwa kwa mwezi manake dunia inablock mwanga wa jua usiangaze juu ya mwezi.

yani mwezi na dunia are blocking the sunlight from each other..
 
Mtoa mada upo sahihi ina bidi wanasayansi wa reverse hii statement. Dunia imepatwa kwa kuwa ndio inayotafuta mwanga wa jua.
 
Za kwenu wana JF?
Naona kunaupotoshi, kama siyo kulisingizia Jua limepatwa kumbe iliyopatwa ni Dunia.

Jua ni Nyota ambayo imezungukwa na sayari takribani kumi na kitu.
Mwezi huzunguka Dunia.

Kupatwa kwa mwezi hutokea pale Dunia inapokuwa katikati ya Mwezi na jua hivyo mwezi hushindwa kuakisi miale ya jua barabara kwa sababu ya na Dunia.

Nakupatwa kwa Dunia ambako ndio mnalisingizia jua ndo limepatwa hutokea pale mwezi unapo pita katikati ya Jua na Dunia, hivyo Dunia hushindwa kupata miale ya mwanga kutoka kwenye Jua. Je, inakuwaje kitendo hiki kiitwe kupatwa kwa Jua na siyo kupatwa kwa Dunia?

Hali yakuwa wakati jua likiendelea kuwaka kama kawaida Dunia ndiyo inayo kuwa imekingwa na Mwezi.

View attachment 391912View attachment 391913View attachment 391914

Dunia inakizunguka jua na mwezi unaizunguka Dunia.
Jua limetulia tuliii linapatwa he sasa hapo?

Ieleweke kuwa kilicho patwa Leo ni Dunia na siyo Jua.
Iendelee kueleweka hivyo, sawa?

View attachment 391911
Wewe elimu yako ni kiwango gani maana nisije sema mambo nikakuchanganya kabisa
 
ni matatizo ya tafsiri tu mkuu..
Kulingana na OXFORD DICTIONARY, maana ya Solar Eclipse (kupatwa kwa jua) ni hii:
solar eclipse
▸ noun: an eclipse in which the sun is obscured by the moon.

MAANA YA NENO OBSCURE NI HII:
Obscure
verb [with obj.] keep from being seen; conceal:
grey clouds obscure the sun. (mawingu ya kijivu yamelificha jua/ Jua limefichwa na mawingu ya kijivu)

neno obscure manake ni kuficha..
sasa kama SOLAR ECLIPSE is an eclipse in which the sun is obscured from the moon, kwa kiswahili tunasema Kupatwa kwa Jua ni kitendo cha jua kufichwa na mwezi.

kwa tafsiri hii unaweza kusema neno kupatwa ni sawa na neno kufichwa.

LUNNAR ECLIPSE is an eclipse in which the sun is obscured from the EARTH,

yaan miale ya jua imezuiliwa na dunia... So mwez haupati mwanga.
Nayo tutaita kupatwa kwa jua?
 
LUNNAR ECLIPSE is an eclipse in which the sun is obscured from the EARTH,

yaan miale ya jua imezuiliwa na dunia... So mwez haupati mwanga.
Nayo tutaita kupatwa kwa jua?

Kupatwa kwa mwezi maana ndio umezibwa na kivuli cha dunia. Yaani sisi tulio duniani tunashindwa kuuona mwezi...!
 
LUNNAR ECLIPSE is an eclipse in which the sun is obscured from the EARTH,

yaan miale ya jua imezuiliwa na dunia... So mwez haupati mwanga.
Nayo tutaita kupatwa kwa jua?

sasa ukisema miale ya jua imezuiliwa na dunia huoni kama unakinzana na kauli yako inayosema sun is obscured from the earth??
ungesema sun is obscured by the earth ungekua sahihi... kuna tofauti kati ya FROM na BY.
 
Mtoa mada upo sahihi ina bidi wanasayansi wa reverse hii statement. Dunia imepatwa kwa kuwa ndio inayotafuta mwanga wa jua.
ukisema dunia imepatwa ni sawa na kusema dunia imefichwa.. dunia haiwezi kufichwa ila jua ndio linafichwa..

ukisema dunia imefichwa, imefichwa ili nani asiione? haileti maana...
ila ukisema jua limefichwa, inaleta maana coz binadamu hawezi kuliona.

kuelezea bila kutoa mfano naweza kuumwa, sasa kwa mfano:

kwa mfano wewe umezoea kumuona kuku anakatisha nyumbani kwako kila siku, sasa leo imetokea bahati mbaya yule kuku hajakatisha mbele ya macho yako, HAPO UTASEMA WEWE UMEFICHWA AU KUKU KAFICHWA??

KAMA KUKU NDO KAFICHWA BASI NDO SAWA NA KUSEMA KUKU KAPATWA, NA NDIO SAWASAWA KABISA NA KUSEMA JUA LIMEPATWA.
 
Hahahaaa. Brillnoel umenichekesha sana hakika nimecheka kwa sauti KUU hasa kwa huo mfano wako wa kupatwa kwa KUKU...

Ila nimemuelewa sana brillnoel japokiuwa maana inaeleweka kuwa KUPATWA KWA JUA NI MWEZI UNAKUWA KATKAT YA DUNIA NA JUA HIVYO KUPELEKEA MWANGA WA JUA KUTOFIKA DUNIANI VIZURI... zaidi naona sasa waafrika sasa tumeanza kujitambua kuwa kila nadharia ya mzungu ni ya kweli kwani hata sisi tuna uwezo wa kufikiri zaidi ya alipoishia mzungu hivyo kuja na mawazo mapya kama hivi....

Nakupenda sana jf..
 
Hahahaaa. Brillnoel umenichekesha sana hakika nimecheka kwa sauti KUU hasa kwa huo mfano wako wa kupatwa kwa KUKU...

Ila nimemuelewa sana brillnoel japokiuwa maana inaeleweka kuwa KUPATWA KWA JUA NI MWEZI UNAKUWA KATKAT YA DUNIA NA JUA HIVYO KUPELEKEA MWANGA WA JUA KUTOFIKA DUNIANI VIZURI... zaidi naona sasa waafrika sasa tumeanza kujitambua kuwa kila nadharia ya mzungu ni ya kweli kwani hata sisi tuna uwezo wa kufikiri zaidi ya alipoishia mzungu hivyo kuja na mawazo mapya kama hivi....

Nakupenda sana jf..
pamoja sana mkuu.
 
Back
Top Bottom