Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 913
- 582
Za kwenu wana JF?
Naona kunaupotoshi, kama siyo kulisingizia Jua limepatwa kumbe iliyopatwa ni Dunia.
Jua ni Nyota ambayo imezungukwa na sayari takribani kumi na kitu.
Mwezi huzunguka Dunia.
Kupatwa kwa mwezi hutokea pale Dunia inapokuwa katikati ya Mwezi na jua hivyo mwezi hushindwa kuakisi miale ya jua barabara kwa sababu ya na Dunia.
Nakupatwa kwa Dunia ambako ndio mnalisingizia jua ndo limepatwa hutokea pale mwezi unapo pita katikati ya Jua na Dunia, hivyo Dunia hushindwa kupata miale ya mwanga kutoka kwenye Jua. Je, inakuwaje kitendo hiki kiitwe kupatwa kwa Jua na siyo kupatwa kwa Dunia?
Hali yakuwa wakati jua likiendelea kuwaka kama kawaida Dunia ndiyo inayo kuwa imekingwa na Mwezi.
Dunia inakizunguka jua na mwezi unaizunguka Dunia.
Jua limetulia tuliii linapatwa he sasa hapo?
Ieleweke kuwa kilicho patwa Leo ni Dunia na siyo Jua.
Iendelee kueleweka hivyo, sawa?
Naona kunaupotoshi, kama siyo kulisingizia Jua limepatwa kumbe iliyopatwa ni Dunia.
Jua ni Nyota ambayo imezungukwa na sayari takribani kumi na kitu.
Mwezi huzunguka Dunia.
Kupatwa kwa mwezi hutokea pale Dunia inapokuwa katikati ya Mwezi na jua hivyo mwezi hushindwa kuakisi miale ya jua barabara kwa sababu ya na Dunia.
Nakupatwa kwa Dunia ambako ndio mnalisingizia jua ndo limepatwa hutokea pale mwezi unapo pita katikati ya Jua na Dunia, hivyo Dunia hushindwa kupata miale ya mwanga kutoka kwenye Jua. Je, inakuwaje kitendo hiki kiitwe kupatwa kwa Jua na siyo kupatwa kwa Dunia?
Hali yakuwa wakati jua likiendelea kuwaka kama kawaida Dunia ndiyo inayo kuwa imekingwa na Mwezi.
Dunia inakizunguka jua na mwezi unaizunguka Dunia.
Jua limetulia tuliii linapatwa he sasa hapo?
Ieleweke kuwa kilicho patwa Leo ni Dunia na siyo Jua.
Iendelee kueleweka hivyo, sawa?