Nduna shujaa
Senior Member
- Aug 14, 2022
- 163
- 134
Sijui kwa upande wangu tu au hata kwako unaliona hili.
Askari baadhi wamekuwa wanapiga sana mtungi na kupelekea kufukuzwa kazi. Mfano hai, ndugu yangu naye alifukuzwa kazi akiwa na nyota kisa pombe.
Kwanini mambo haya hutokea zaidi kwa askari?
Askari baadhi wamekuwa wanapiga sana mtungi na kupelekea kufukuzwa kazi. Mfano hai, ndugu yangu naye alifukuzwa kazi akiwa na nyota kisa pombe.
Kwanini mambo haya hutokea zaidi kwa askari?