Nduna shujaa
Senior Member
- Aug 14, 2022
- 163
- 134
Hata wapiga mtungi wapo walimu piaWalimu wengi saana wamefungwa kwa kosa la kuzini na Wanafunzi na wengi wamekimbia kazi zao kisa kuwamimba wanafunzi, kila shetani na mbuyu wake
hahahaaaNao ufukuzwa kwa kula mbususu mnato
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka jamani.Walimu wengi ugonjwa wao ni mikopo hasa vikoba wamejazana sana huko. Ila sasa sijui wanapeleka wapi hizo pesa
Umetoa mfano mmoja tu; halafu unauliza kwa nini hilo hutokea zaidi kwa askari? Namna ulivyoweka hoja yako haiashirii kuwepo kwa hoja ya msingi.Sijui kwa upande wangu tu au hata kwako unaliona hili.
Askari baadhi wamekuwa wanapiga sana mtungi na kupelekea kufukuzwa kazi. Mfano hai, ndugu yangu naye alifukuzwa kazi akiwa na nyota kisa pombe.
Kwanini mambo haya hutokea zaidi kwa askari?
Tatizo ni hizo hela wanazonywea pombe! Nyingi zimetokana na rushwa, kupiga madili ya wizi, au kuwabambikia watu masikini kesi!Sijui kwa upande wangu tu au hata kwako unaliona hili.
Askari baadhi wamekuwa wanapiga sana mtungi na kupelekea kufukuzwa kazi. Mfano hai, ndugu yangu naye alifukuzwa kazi akiwa na nyota kisa pombe.
Kwanini mambo haya hutokea zaidi kwa askari?
Ndio marupurupu yako kiongoziKama ni kuzini na wanafunzi basi ningekuwa jela. Nakumbuka mwaka fulani nikifanya field shule fulan za sekondari nimewalala sana wanafunzi halafu wengi ni Watamu sana. Mungu anisamehe tu, waalimu kazi kwenu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna Mwalimu mmoja hapa, anakunywa pombe mpaka Kodi ya nyumba ameshindwa kulipa.Sijui kwa upande wangu tu au hata kwako unaliona hili.
Askari baadhi wamekuwa wanapiga sana mtungi na kupelekea kufukuzwa kazi. Mfano hai, ndugu yangu naye alifukuzwa kazi akiwa na nyota kisa pombe.
Kwanini mambo haya hutokea zaidi kwa askari?